Jf inatisha: Kuna member wawili maarufu walikuwa hotelini week nzima wakijunjana chiii!

Jf inatisha: Kuna member wawili maarufu walikuwa hotelini week nzima wakijunjana chiii!

Wanakamatiiii Jaman jaman Jf kumbe nzito kiasi hiki poooh mmenishinda kwa kweli yani nimewashiba agagaaa!

Nasikia yule member maarufu ako na I'd yenye kutamka kwa uzito kama jiwe la kg 125 .
Na nyie vichwa vyenu vizito kama nini si yule ambaye I'd yake unaitamka kisukuma jaman yani lazima uitamke kisukuma[emoji4][emoji4]

Yani wanakamati wagumu nyiee[emoji28]
Bwana bwana nasikia alikwea pipa la Auric huyoo mpaka nyanda za juu kusini kwenye 5 star hotel na yule bi mwafundenge. Chiii mnachosha jaman kuandika aggggr [emoji39][emoji39][emoji39]

Yule member maarufu anakaa makao makuu nasikia na yeye alikwea basi akapita milima yotee ya Nyanda za juu kusini kwenda kula bata na huyuu mzee wa Kukandamiza hivi bado hamjamjua tu mbna maarufu sana tu humuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nasikia wamekaa week nzima wakila bata jaman kweli Jf kichaka cha kizaaa [emoji23][emoji23]Mambo mengi muda mchachee.

Wanakamati bi mwafundenge nasikia ni x wa mganga maarufu Jf chiiii sitak kesi mimi agggggr msinichoshe tusichoshaneee tatizo mavichwa yenu magumu kanyweni supu ya samaki huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawakujua kama wambea tupo kazini bhn si tukaona tu status tsap zinasoma location mojaaa chiiii tukawanyapia nyapiaaa bhn bhna hata tiket zao zimesoma tarehe mojaa aaaag.

Wanajf mtabaki kuwa juuu mawinguniiiiii.

Nyongeza: Demiss siwezi kubaki na umbeya jaman kifua kitapasuka.

Location: Kiomboi Singida.
Hivi ni kunjunjana au kujunjana
 
Waacheni walalane jamani maisha mafupi,hayaa....hongereni jamani[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

Code ngumu kuliko maisha yangu kaahh
 
Kuanzia ya ngapi ndugu yangu
Yani we mzito kama mimi.Nimeishia kuona sufuria ilojazwa minyanya tu,hizo code wanaziweza wazoefu wallah....nashangaa tu kumbe Jf watu wanavuka beyond simu wanakutana fizikali[emoji23] [emoji23] [emoji23] nilivyomuoga wa kuuliwa na kuchunwa ngozi naishia humu humu,jeuri yangu bundle.
 
Mara moja kwa mwezi sio vibaya[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Uwe unapika hivi
20190417_204425.jpeg
 
Hahahahhaha ndo maana tukasema jf inatishaaaa
Yani we mzito kama mimi.Nimeishia kuona sufuria ilojazwa minyanya tu,hizo code wanaziweza wazoefu wallah....nashangaa tu kumbe Jf watu wanavuka beyond simu wanakutana fizikali[emoji23] [emoji23] [emoji23] nilivyomuoga wa kuuliwa na kuchunwa ngozi naishia humu humu,jeuri yangu bundle.
 
Kuna kundi Cha wanaume wachache humu wanatuwakilisha vizuri Sana.


Wanatomba wanawake humu ovyo ovyo mwisho wa siku wanahadithiana ukitaka kujua hilo hi code wanawake wote wataijua tu
 
Back
Top Bottom