Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umelipwa mshahara kabla ya pasaka,komaa kama una familia,huu mshahara unafika mwisho wa mwezi mwingine?(joke)Bado nipo kitandani hapa, nashindwa kufikia hitimisho la kupata sehemu ya kwenda kufuja haya mafweza, ebu njoo chapu uje uchague sehemu unayoitaka tukafanye mawandazi
View attachment 1075411
HuweziNakuganda kama rubaaaa
Mwambie akulipe, si ameshakutumia ndotoni.Kila siku huyu huwa ananiotaaaa
Nikikutesa ndio utanikubali mapema ili usiteseke tena[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]jaman mbn wanitesaaa
Mwanamke kusutwa suna jaman
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tatizo hesabu nilitoka na mswaki[emoji23][emoji23] raha siijui
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naona umelipwa mshahara kabla ya pasaka,komaa kama una familia,huu mshahara unafika mwisho wa mwezi mwingine?(joke)
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Umekosa raha miongoni mwa raha za Duniani, sio ile ya kubaki keleleni tu[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahahaha aisee njoo basi jaman hapa kwa kamongo karibu na tanesco tunywe mbili tatu
Bora tukawaroge macashier bank ili tuchukue nyingi zaidi kama za Escrow, tena tunazibeba kwenye masandarusi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nakurogaaaa
Nakuja ndani ya sekunde -0Ngj nioge nitafute chai njoo tsap uone raha za duniaaaa
Usiwe dhaifu kama bunge,Nipo namdai muamala hapa anilipe
Dada mbn wameshaanza kufungua tayar pitia comment