[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daah!!umenikumbusha muda we kipindi cha dini Mimi na wenzangu hatuendi akija matron tunajificha uvungu wa vitanda kimyaaa bas anasimama kisha anaondoka maana kuinama hawezi yule mama !!!!akitoka vichekooo kama vyote!jamani kaahHahaa matron wetu alikuwa anakagua ndio anafunga ila alikuwa hakuti mtu, kuna watu walikuwa wanakuja school na mabegi makubwa ukiingia humo huonekani, aiseee yalitukoma mabegi yale. Maana n mwendo wa kutoa mavitu kuweka mvunguni alafu wenyew ndan ya begi. Siku ukikosa begi jiandae kwenda prepo hahaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] weeee hapana kwa kweli!!!mi nshakaa sana chooni au uvungu wa kitanda kimyaaa!Natamani ungeona hilo kabati lina sehemu nne kila mtu anapewa upande mmoja mmoja ili kuweka vitu vyako,unaingia kwa kutanguliza mguu kule yaan unapanua mapaja na unaingia na chupi na bra ili usibanane sanaa na ujichanue vyema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kalikuwa ni kazoezi nakuambia
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana simuungi mkono tatizo hamna cha kudislike!!!
Hahahaaaa!!mpe huyo wachumba hataki kunukia uturi!Acha aendelee kukaa na wanoko wenzake akina Malcom Lumumba ambao ambao stori zao, mara oh, Nguni Speaking People... mara sijui Matebele kufanya nini sijui... aaaaaaaargh!!! Wataishia kuji-mix na watoto wa Gisenyi Secondary School!
Kuna muda ukijiuliza sababu ya yote haupati jibu kamiliMama sabrina umetisha kwa habari hizo za kufungiwa kwenye locker wakati wa prepo.
Ila maisha ya boarding yana raha yake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna jamaa tulikua tunamwita higly trained terrorist ... Alkua anaingia na vibomu mpaka necta akawalipua ...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimesoma comments zote hadi hapa....
Hadi mdomo wangu ulibaki wazi kabisaaaaa....
Hahaha,Acha aendelee kukaa na wanoko wenzake akina Malcom Lumumba ambao ambao stori zao, mara oh, Nguni Speaking People... mara sijui Matebele kufanya nini sijui... aaaaaaaargh!!! Wataishia kuji-mix na watoto wa Gisenyi Secondary School!
Umeonaa eeh,Tatizo hukai na mabro wa Advance kina Malcom unakaa na wahuni wapenda music kina chige unategemea nn!, mwenzio nateleza tu!.[emoji23]
hahahh
yaani hapo kwenye upole emenipatiajee[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]yaani wewe mmekupatia kabisaa maana swaga zako sio za nchi hii yaani wewe ingekua na ushikaj na kina gudume!!