Mimi hapaa ila kukiwa na michezo namba moja [emoji23][emoji23][emoji23]natafuta wavivu wenzangu wa 'prepo' tukienda tunalala tu..lol
Sana tu asikuambie mtu yaani lazima update mchuchu na siku hyo wale mashekh na wachungaji vipindi vya dini kabla ya disco kwanza wanaanza kuhubiri neno!Yaani hapo ndio kama hauna 'kapo' ndio siku ya kuopolewa, usipoopolewa hapo ndio basi tena.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hajar mbalizi alivyo bahilii angekua anawaogopa wa kishua huyuu!!maana pocket money yenyewe mawazo!Hahaaaaa. Umemuonaeee namuaminia Aunt na alivyo Serious mbona angewakomesha.
Huyo Mbalizi haeleweki ujue hao wa kishua pia angewaimbisha tu si wajua tena maisha ya shule angeweza wapa hata pocket money yake ilimradi tu aweke heshima kwenye Shule ya JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaaaa hapo umeongopa Ray mm na mabinti dam dam yani Makapuku forum wananijua vizuri nikisema niwapange hapa nitakesha...Kungekuwa na wasongo wale wako serious wao no mademu yaani....!!!hawa ni kina ushimen,ccnp engineer Da'Vinci,castr na wengine wengi wao ni wazee wa kusomea vijiji wao no story na mademu busy tu na kitabu!wawe maTO!
Hahaaa!mi nilikua nkiamka kwenda chooni nawaambia wasongo ole wao wautumie mchana kua usikuu!!halafu napitaaa...narudi kulala!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]umenikumbusha mbali wakati wa exam, tulikua tuna hamshana usiku ili tusome,basi mie nawaambia kabisa Rafiki zangu niamshe saa flani nisome,wakija kuniamsha hio saa nawaambia niamshe baada ya lisaa limoja,akija tena namwambia tena niamshe baada ya lisaa limoja,usiku mzima unakua ndio mchezo huo,asubuhi inafika sijasoma hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewee unaonekanaa!!!kabisaa na hao wenzio hapo!!!MI hujakosea hata robo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ole wako uniseme nikusikie hehehe
Na group langu tukiishiwa pesaa na sukari tunatekenye makufuli ya kabati mpaka yanafunguka tunaiba sukari na aziwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] humu wewee!!ni mgumu by nature!!!!!unahama darasa kisaa mademu wee mkaree!!!Hahaaaaa hapo umeongopa Ray mm na mabinti dam dam yani Makapuku forum wananijua vizuri nikisema niwapange hapa nitakesha...
Niliwahi hama mkondo kutoka A kwenda B coz A lilikua darasa la sayansi bi la Art hivyo lilikua lina wasichana 6 tu. Nilikua nashinda zangu B na mabeibeee
Sipend kuigiza ukiniita baby humu mwisho natamani kukugegeda so naamua kuyapotezea.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] humu wewee!!ni mgumu by nature!!!!!unahama darasa kisaa mademu wee mkaree!!!
Ole wako nikuombe kitu uninyime shogaa [emoji23][emoji23][emoji23] tutakiiba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewee unaonekanaa!!!kabisaa na hao wenzio hapo!!!