JF ingekuwa BOARDING SCHOOL Mambo yangekuwa hivi!!

Watu tulikuwa tunatumia vindoo vidogo vile vya sabuni za unga [VISADO" au makopo yale ya peanut butter tulikuwa tunayaita "BANGALA"....

Yaani ukimaliza uji hapo vipindi vyote vinavyofuata hapo baada ya breaktime ni usingizi wa kufa mtu aisee....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni kweli kabisa mkuu.

Nikiwa olevel nilikuwa nasinzia sana vipindi kuanzia saa 5 baada ya uji.

Ila Advance nilisoma shule ambayo tulikuwa tunakunywa uji asubuhi kabla ya kwenda Assembly, halafu saa 4 tulikuwa tunakunywa chai kavu bila kitafunwa ila unajinunulia kama una hela. Sasa hapo nilikuwa nakunywa uji asubuhi halafu chai naipotezea, suala la kusinzia kisa uji wakati wa asubuhi lilikuwa gumu sana ukilinganisha na mida kuanzia saa 5.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tulikua tunaingia jikon usiku tunapika wali siku tuliyodakwa na anko hatukua na namna zaidi ya kumkaribisha hadi tunaondoka alitupa kazi ya kumpikia pilau kila usiku hadi namaliza six sitosahau uroho .... Na ulafi jaman dah
 
Tulikua tunaingia jikon usiku tunapika wali siku tuliyodakwa na anko hatukua na namna zaidi ya kumkaribisha hadi tunaondoka alitupa kazi ya kumpikia pilau kila usiku hadi namaliza six sitosahau uroho .... Na ulafi jaman dah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Vituko vya shuleni ni vingi sana aisee
 
Jamani huu Uzi, Mbavu zangu Mweeh hapo kwa Evelyn Salt [emoji23]
Halafu umesahau kuongeza hapo kwa T ake
Heaven Sent
Pamoja na Usongolist, angekuwa pia anatuongoza Fellowship.. [emoji85]
Eehhh!! mama mchungaji tena nimemuweka yaani yeye ndo mambo yake hayoo!mama mchungaji!
U-asha kisomo nilikuwa si haba teh

Kitu ambacho sikuwahi kukielewa ni kwamba levels zote nilizozisoma, baada ya muda kupita nimeanza kuzoeana na watu, majority walikuwa wananiambia hawakutegemea kama ntamaliza shule salama bila kufukuzwa au supp/disco chuo. Sura yangu imekaa kimatukio matukio sana eti,so they were expecting the worst from me. Mwisho wa siku nilijikuta nina marafiki wengi mnoo, baada ya wengi kuona I was different from mtu waliyekuwa wanamuwazia. Na hata leo baadhi ya watu wananionaga nimeshindikana mweeh.

Kanisani nilikuwa yule kiongozi mcharuko. Wapendwa wote wanasalimiana kipendwa, mimi sometimes nilikuwa naitikia "pouwah " mweeh. Baadaye ndo nikaja kuzoea sasa (aibu naona mimi)

 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Vituko vya shuleni ni vingi sana aisee
Kuna jamaa tulikua tunamwita higly trained terrorist ... Alkua anaingia na vibomu mpaka necta akawalipua ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…