fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
ur welcomeusijali " relux
Kastaarabu hataree hua kanatuporomoshea maombi. I wish ningekua napesa mingi nimpate
Daftari langu hilo moja ningekua nampa Beira Boy alibebe[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]yaani wewe mmekupatia kabisaa maana swaga zako sio za nchi hii yaani wewe ingekua na ushikaj na kina gudume!!
Wewe ungenisababishia sunsper wewe!!!Aaahh tungekuwa mfano wa kuigwa
kapo maarufu ingekuwa yetu hadi walimu wangetukoma
Yana experience fulani hivi amazing.yaani weee acha tu
Ningekua nna kampani ya vidume, mida flani tunazama chimbo kusmoke, darasani nakaa mwisho kabisa sijibu swali hata siku moja make kichwani empty,kadaftari kamoja tu hako hako masomo yote
Woooow lakini wazoefu wanasema pesa ni sukari ya mapenzi. Nikija hivi maskini si nitagongewa aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana mondray halafu sasa shunie og sasa hata mapesa haombi usipompa ndio basi hajui kuomba
Msongo hujambo?
Woooow lakini wazoefu wanasema pesa ni sukari ya mapenzi. Nikija hivi maskini si nitagongewa aiseee
Hahaaa katika kitu kilikua mwiko kwenye maisha yangu ya school ilikua ni kuangalizia,kuuliza majibu au kutumia vibomuuMkuu nadhan wewe ulkua unaingia na vibomu kwenye pepa .... Hadi tukakupachika jina la " higly trained terrorist
Hahaaa katika kitu kilikua mwiko kwenye maisha yangu ya school ilikua ni kuangalizia,kuuliza majibu au kutumia vibomuuMkuu nadhan wewe ulkua unaingia na vibomu kwenye pepa .... Hadi tukakupachika jina la " higly trained terrorist
Pesa sina wala mbebez sina nipo Great Economy DepressionUwe unampa sasa mbebez wako kama unazo sio mpaka uombwe huo ni wajibu wako
anytime Mkuuur welcome
daaahh sio kwa hii sonona nayo ipataTabu ipo pale pale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pesa sina wala mbebez sina nipo Great Economy Depression
My genius Dadaaa!!speake English we uko vzr sanaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaahh sio kwa hii sonona nayo ipata
Eehhh!! mama mchungaji tena nimemuweka yaani yeye ndo mambo yake hayoo!mama mchungaji!