Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Halikumkifu?au mlikula woteTulikua tunaingia jikon usiku tunapika wali siku tuliyodakwa na anko hatukua na namna zaidi ya kumkaribisha hadi tunaondoka alitupa kazi ya kumpikia pilau kila usiku hadi namaliza six sitosahau uroho .... Na ulafi jaman dah