JF ingekuwa gazeti la udaku.

Udaku katika ubora wake!! Uzi umefungua leo, umeshafika pg.15?????
Bi Niah aachika sababu ya kukaa muda wote kwenye JF, amejaribu kunywa sumu wakampa mkojo!
 
Hili swali hawezi kukujibu hadharani,mfate sirini atakujibu.

Huwa sitaki mchezo linapokuja suala hili,hakika mtanange ulikuwa mzito sana,lakini mwisho wa siku walikata ngebe zao. Ninastahili pongezi za dhati mno.
Wewe Zurri wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kwanza umenikimbia kule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…