Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23] Saint anne Marianah ya kweli haya ndugu
Yesu wangu [emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Katika ile vuta ni kuvute na vikao vya siri vilivyokuwa vinaendeshwa na pande mbili,hatimae Marianah na Saint anne wamekubali kuwa wake halali wa bwana Zurri"
Habari zaidi ipo ukurasa wa 7 wa gazeti hili.
Niambie best, maana wadada wa huku nawaogopa hawaishi kuweka kitu hadharani.
Kwa moyo mkunjufu nimeamua kupoa kabisa
Khe! Kwani melo alikataza watu kutagiana?
HAHAHA POANimependa hii tengeneza nyingine
Vipi tunaweza kuwa wapenzi ?
Udaku katika ubora wake!! Uzi umefungua leo, umeshafika pg.15?????Just assume JF tungekuwa na gazeti letu la Udaku kama Kiu, uwazi n.k
Vichwa vitasomeka hivi.
1. Week zapita sasa X wa mgangaa mashuhuri JF kitoonekana jamvini
2. Dau la kuhonga lakonga mioyo ya wanawake wa JF (7800).
3. 7800 yazua kizaa zaa.
4. Wanaume wa JF wakesha kuomba kama Paulo milango ya wanawake kufunguliwa(PM)
5. K-Vant yamgaragaza babu mtaroni (Asprin)
Kweli Jf. udaku mnaupenda! Uzi umefunguliwa leo
Ongeza vichwa vya habari.
Wewe Zurri wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Hili swali hawezi kukujibu hadharani,mfate sirini atakujibu.
Huwa sitaki mchezo linapokuja suala hili,hakika mtanange ulikuwa mzito sana,lakini mwisho wa siku walikata ngebe zao. Ninastahili pongezi za dhati mno.
Je wajua kwanini watoto wa chuo huwa watamu sana ? Soma uk7 kupata undani wa habari hii.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni heri Mungu aachiwe tu kuliko kufungulia PM mabaharia wa JF.
Jifunze namna ya kutumia id zaidi ya moja bila kujulikana. Uk 2Wengine mwandiko wetu ni ule ule, huhitaji kutumia utaalamu kuzijua ID kama zikiwa mbili.
Labda tu kama huitumii moja.
MKUU WEKA LINKJe wajua kwanini watoto wa chuo huwa watamu sana ? Soma uk7 kupata undani wa habari hii.
Nunua gazeti mkuu.MKUU WEKA LINK
Mimi nataka kitimoto tu leo.
πππ mwajuma ndala ndefuHuyo Cardiovascular utakua ni mwanamke anazuga watu huku
Kwako hajaja badoππ msubirie utaliona kuku pori lile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi Ni ipi jamani