ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
HABARINI WADAU WA JF
Muda sijajikita humu mama mfundaji kutokana na mihangaiko ya hapa napale
Nimewamisije hasa CharmingLady , Khantwe , KakaKiiza , snowhite , Mentor (babalao hahaaa) Mtambuzi , Paloma [sijui yupo humu] Lady doctor, Passion Lady, Watu8 Erickb52, Filipo [nduguupo], miss chagga [kwekweeeee], Arushaone jamani siwezi kuwamilizia hapa ni wengi niiliowamiso auuuuu nimemsahau figganigga nooooooooooo Chachu Ombara jamani
Nimeonelea tuweke miili yetu fit kwa kufanya mazoezi mafupi kila mkoa na watu wake toka humu jf hii itapendeza zaidi kuwa na afya njema nimelileta kwenu wadau nanyi mwaonaje hili tuwe na jambo hili
Mazoezi yangefaa zaidi kufanyika jioni kwa kila mkoa na kupeana update ya kinachojiri toka mkoa hadi mkoa , huwaga naona pale Taifa wakifanya mazoezi kwa kutumia mziki sasa wadau ninyi mwaonaje hili ni jema au la karibuni kwa maoni na msilete porojo za hovyo wakuuu plsssss
Wasalaam
LADYF
Muda sijajikita humu mama mfundaji kutokana na mihangaiko ya hapa napale
Nimewamisije hasa CharmingLady , Khantwe , KakaKiiza , snowhite , Mentor (babalao hahaaa) Mtambuzi , Paloma [sijui yupo humu] Lady doctor, Passion Lady, Watu8 Erickb52, Filipo [nduguupo], miss chagga [kwekweeeee], Arushaone jamani siwezi kuwamilizia hapa ni wengi niiliowamiso auuuuu nimemsahau figganigga nooooooooooo Chachu Ombara jamani
Nimeonelea tuweke miili yetu fit kwa kufanya mazoezi mafupi kila mkoa na watu wake toka humu jf hii itapendeza zaidi kuwa na afya njema nimelileta kwenu wadau nanyi mwaonaje hili tuwe na jambo hili
Mazoezi yangefaa zaidi kufanyika jioni kwa kila mkoa na kupeana update ya kinachojiri toka mkoa hadi mkoa , huwaga naona pale Taifa wakifanya mazoezi kwa kutumia mziki sasa wadau ninyi mwaonaje hili ni jema au la karibuni kwa maoni na msilete porojo za hovyo wakuuu plsssss
Wasalaam
LADYF