JF Karibuni Tanzania Professionals Network

JF Karibuni Tanzania Professionals Network

Yah ..but to let anybody enter in that society regardless of w/ther he/she is proffessional or not provided she/he has only the money to join and pay the annual subscription fee..i think inaenda tofauti hata na jina la Society yenyewe TPN...so kama na shilingi 100,000 alafu nimemaliza zangu form four nikataka kuingia kwenye hichi chama na hakika milango itakuwa wazi sababu hela ya kuingia ambayo ndio kigezo kikubwa according to iyo email..je na mimi pia nitaitwa professional sababu niko kwenye chama cha ma professional???????/

labda mtsimbe atufafanulie vizuri kuhusu vigezo vya kuwepo hapo kwenye hicho chama....ni hela yako tu au na na academic qualifications pia zinaangaliwa?? na kama vinaangaliwa ni njia zipi zitumikazo ku assess????

Asante Wakunyuti . . . Kulikuwa na mjadala mkali kidogo katika posts za huko nyuma juu ya ni nani hasa anatakiwa awe mwanachama wa TPN. Katika katiba ya sasa mwanachama anaweza akawa Mnataaluma yeyote kwa maana ya kuwa amesomea fani fulani hasa kutoka katika vyuo vya elimu ya juu.

Lakini pia kunaweza kukawa na mwanataaluma fulani ambaye hajasoma rasmi lakini anauwezo mkubwa wa kufanya kazi za kitaaluma au ubunifu.

Katika makundi yote mtu yeyote lazima avutiwe na aamini katika Vision, Mission na Objectives za organization kabla ya kuwa mwanachama. Sijawahi kuona mtu anayejuinga na organization bila kuelewa madhumuni yake ni nini hasa.

Katika mapendekezo yaliyotolewa hapa JF, ni vema kukawa na kigezo rahisi, mfano: kwa lugha rahisi qualification ya kuwa mwanachama ni lazima uwe Mwanataaluma (Wa kusomea au bila kusomea) ili mradi tu umevutiwa na Vision, Mission na Objectives.

Nadani wataalamu wetu wa lugha wataliangalia hili kama pendekezo, na kama litakubaliwa na wanachama katika AGM ya mwezi wa nane basi litaingizwa katika katiba.

Asante sana kwa mchango wako.
 
Naitwa Sanctus Mtsimbe na naomba niungane na wana JF wengine waliojitambulisha kwa majina yao halisi na kutoa mwito wengine wafanye hivyo ili tuweze kuungana na kufanya mambo ya kimmsingi sasa yanayohitaji kufahamiana na kukutana.

Nimekuwa msomaji mkubwa wa JF toka mwaka 2007 na leo nimeona ni vema nami nijitokeze kuandika machache. Napenda kuishukuru na kuipongeza JF na uongozi na wanachama wake kwa kazi kubwa na nzuri manayoifanya katika kuleta changamoto mbalimbali.

Napenda kutoa mualiko rasmi kwa kuwakaribisha wana JF wenye mtazamo na mwelekeo wa kupenda maendeleo ya kweli kujiunga katika Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (Tanzania Professionals Network, TPN). TPN ni mtandao unaowaunganiasha wanataaluma wa fani mbalimbali bila kujali nafasi au vyeo vyao ikiwa na madhumuni ya kuwezeshana Wanataaluma na Wananchi kwa ujumla kiuchumi na kifedha.

Kwa kuwa michango mingi ya Wana-JF ni kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa Watanzania na Nchi kwa ujumla (Kitu ambacho TPN pia inafanya), karibuni sana tuweze kuungana na kuonana katika mikutano ya mara kwa mara ambayo ina lengo la kuboresha maisha yetu.

Kwa taarifa zaidi, tafadhali tembelea tovuti ya www.tpn.co.tz (Bado tovuti inaboreshwa . . . )

Na kama kuna ufafanuzi wowote unahitajika, tafadhali tuwasiliane kupitia barua pepe president@tpn.co.tz au +255-754-833-985
.
[/SIZE]

Karibu sana JF kwa mara nyingine. Ni vema ukawakaribisha members wa TPN wajiunge hapa vile vile (wale mbao hawaifahamu JF) natumaini umekwisha fanya hivyo ili waweze kutoa mawazo yao kama vile ulivyofanya na tuendelee kulisukuma gurudumu la maendeleo kwenye kila nyanja kwani baada ya hapo ndipo utakapoona members wengine wa hapa hapa JF wakiichangamkia hiyo organization. Tunashukuru sana kwa kutuwezesha kuifahamu zaidi TPN.

Karibu sana kwenye jukwaa la siasa vile vile ... ... Karibuni sana wana TPN kwani mtaongeza changamoto hapa kwa wale ambao hamjajiunga.
 
You hope?? Kwani wakufunzi ni wakina nani? Give recent examples please. Pia kama network yenyewe itajaa watu ambao si "Professional", tu wale wenye uwezo wa kulipa hiyo 100,000. Such network doesnt sound very useful...

Asante MiratKad . . . . Recent Examples:

"Practise of Entrepreneurship for Professionals" - Mkufunzi, Dr Olomi from University of DSM Entrepreneurship Centre. Partcipation Fees TZS 10,000 for Members and 20,000 for Non-Members. What you get . . . CD of all Presentation (Normally there are minimum of 2 presenters) and Stationery for training, bitings and soft drinks and time to interract with other paticipants. You are also given a Certficate of Attendance. Video for the Training can also be bought at an extra fees of TZS 10,000.00

Sasa ukipiga hesabu ya laki 1 na benefits hizo, utaona ni kiasi gani TPN inajitahidi kufanya. You can check at UDSM a similar course for probably 40 hours will cost you TZS 350,000. I know this as I know someone who paid this fees.

Another example is "Financial Options Avialble to Fund Professionals Projects" -Presenters - Mr. Deusi Manyenye SME Manager Barclays Bank, Mr. Sekou Toure Mndeme - Branch Director, CRDB, Gabriel Kitua - Director Capital Market Authority.

Partcipation Fees TZS 10,000 for Members and 20,000 for Non-Members. What you get . . . CD of Presentation and Stationery for training, bitings and soft drinks and time to interract with other paticipants. You are also given a Certficate of Attendance. Video for Training can also be bought at an extra fees of TZS 10,000.00.

After the session we agreed to form TPF Fund and also how to mobilize our assets for Loan Security. Few People also joined established a comany and raised capital of about TZS 30 Million.

Also please, note that 100,000 is a one time registratin fees. You can pay it in 4 instalments in a year.
etc etc.
 
Kitila,

It should be remembered that the President of TPN came here openly to invite people to join his organisation and has done everything possible to market. I think was well prepared for any outcome of his gesture.

I asked him simple questions for clarifications; instead of coming with clear answers he just said should read past threads.

Nawakilisha,

Njimba

Mzalendo Njimba asante sana kwa maaoni yako . . . Firstly why I requested you to read my previous posts in this same thread is because there were questions which you asked, which I have previously responded, I think more than 3 times. Also at my place it was around 2.00 AM after midnight and I was tired and wanted to go to sleep. However I requested you to come back to me if there will be any further questions.

My brother, you never came back to me with any questions as I requested, instead you picked up with an email from TPN Office administrator (I am not sure how you got it) and brought all those issues you have raised. Still I have done my best to clarify them and am still saying if they are not clear or you are not satisfied with my answers you can say so and will try to clarify more.

The rest of issues you have raised I have already clarified to you in my previous response to you. Others were also clarified in several past posts in this thread.

Njimba may be it is because you may not be reading all my posts. But, there is no single person who has posted and never received my response. If you have time and you dont mind you can try to go many of my posts I believe you can find more about TPN.
 
You are right Njimba, but i thinks Mtsimbe has many things to tell us concerning his Organization..let us give him a chance to wash out all the worriers we have, and i hope one day majority members of JF will meet in the TPN Meetings as the active members of that Professional Network.

Mtsimbe please clear this.

Mzalendo Wakunyuti . . . LOL, of course huu ni msalaba wangu na ni wajibu wangu ku-clear. Niliomba msaada wa maoni huko nyuma na sasa watu wanatoa maoni. Niliwakaribisha TPN na sasa watu wanataka wapate undani wa TPN kabla ya kuamua. I think this is very logical.

I have already clarified the issues in my response to his previous posts. I assume he will come back to me if he needs more clarifications or has other questions
 
Ewaaaaaaaaaaaaa Bana Kitila

I Expressed This Eeaaarly In My Post; Thanks Mkumbo For Noting The Same... Bado Naendelea Kusema, Wenye Nia Njema Na Walio Walengwa Watapata Habari.

Na Wale Tuliozoea Yetu Kila Wakati Tutaendelea Kufanya Uchunguzi/research Ili Ku-discredit.

Yaleyale... Kama Ni Udanganyika, Basi Una Maana Nyingi... Hata Ile Tu Ya Kudhani Unajua Na Kumbe Unajidanganya

Tpn Is Important And Tpn Is A Network And Not Project, Ngo, Etc.

You Can Join Network And Leave Upendavyo..

Asante sana MTM . . . I have learnt to accomodate people with different opinions and approaches. Mkingano wa mawazo ni kitu cha kawaida.
 
Njimba,

Your concerns are genuine and justifiable, especially with regard to the qualifications of membership, which I also very much share. Nevertheless, you cannot make such a bold conclusion, that they are just there to milk the poor wadanganyika, on the basis of this particular flaw in the TPN Constitution.

What really troubled me in your post is the impact of your unsubstantiated claim on the morale of people behind such genuine and noble cause as TPN. We have serious problems befalling our country and we need to encourage, not ridicule, any effort that is trying to help our people realise their potential, and it is this big picture that I decided to give TPN the benefit of doubt. If I were you, therefore, I would ask the TPN leadership to consider their membership criteria, without necessarily ridiculing them and putting mud in their initiative.

In any case, my understanding is that the TPN call for support is a voluntary one; if I dont want joining I would simply keep quite or say no quitely without trying to discourage others who maybe convinced, however flawed the organisation may appear.

Lastly, your comparision of your decision to display private communication between you and TPN and the posting of EPA and other public reports in this forum is, to say the least, utterly and unbeliavably inconsiderable and misguided. I am sure you know very well the public interestdness in the EPA report, which cannot, at any rate or level, be matched to TPN, something that is still less than an NGO! I just want to believe that you're simply joking by raising this point!

Tuendelea kuwasaidia hawa ndugu zetu TPN wasimame ili wasaidie kuchangia kiharakati nchini mwetu, sio kuwabeza!

Mzalendo Kitila . . . This is well written and to the point. I dont have anything to add up. Thank you so much . . .
 
Mkuu can you please explain the differences among network, Project, Ngo, Etc.

And You Can Join Network and Leave Upendavyo .... so longer umelipa subscription fee? I that what you mean?

Sorry I seem not to understand you here.

Njimba

Mzalendo Njimba . . . vyote ulivyovitaji ni vyama visivyo vya Kiserikali (Non State Actors).

Ni matumaini yangu hilo suala la fees nimelitolea maelezo. Kinachoanza siyo fees. Kwanza ni interest yako wewe binafsi tena ya hiari ya kujiunga na TPN, pili kupata particulars zako na kulipa fees au yote yanaweza kwenda pamoja.

Pia nimeeleza mifano mingi ya benefits mbalimbali ambazo mwanachama anapata. Kumbuka TPN inajiendesha yenyewe na haitegemei fedha za wafadhili.
 
Habari za leo bwana Mkumbo,
Unanifanya niwe na maswali hapa,

Usingependa kuona Njimba anarukia kwenye conclusion. Hayo maneno hapo juu umeyasema hapa zaidi ya mara moja, na kwa kuwa sijapata uhafahamu mzuri wa madhumuni halisi ya TNP hadi sasa, kauli yako inazidi kunichanganya.

Please don't keep quote is a cumbersome situation such as that (text in red).

.

Mzalendo Lazydog asante sana kwa maoni yako. Kuna details nyingi katika tovuti ya www.tpn.co.tz. Mzee ningekuomba ukipata nafasi uitembelee. Katika Pull menu, go to RESOURCE CENTRE. Kuna mabo mengi pamoja na consititution inayoelezea madhumuni na mengi mengineyo.

Nimetoa pia mifano mingi sana na ya vitendo ni nini TPN inafanya na imekwisha fanya. Kama ulikuwa unasoma post zangu katika thread hii, kuna maelezo ya uwazi sana. Lakini kama bado una specific issue tafadhali jisikie huru kuisema.
 
In my own understanding Sanctus Mutsimbe has explained enough to either rouse one intent and interest to join or not. If one is interested, enough information has been shared here. And to the contract, if one needs to make an informed decision either for or against TPN that decision can easily be arived at, by going through the posts from the beginning, I believe there is plenty to go by!!!

Mzalendo GM, asante sana kwa observation yako.
 
asante kwa jibu lako mzalendo Rais. Nimefuatilia huu mjadala na nimegundua kuna wakati huwa unajibu maswali wakati wa usiku sana,hii inadhihirisha jinsi ulivzokuwa commited na kuiendeleza jamii za watanzania kupitia TPN.Nakushukuru kwa niaba ya watanzania wengine na again nakuahidi ushirikiano wa karibu later this year.
Kazi njema.

Asante sana ndugu yangu Zemarcopolo, unajua hawa wakulu usipowajibu haraka, wanaweza kudhani hauko serious. I must respond to each post kwa kuwa usipofanya hivyo watadhani una wadharau.

Toka thread hii ianze nimekuwa nikilala kati ya saa 8 na saa 9 usiku kwa kuwa siwezi kujibu mchana kwa haraka kwa sababu ya majukumu mengine. kama saa hizi tayari ni saa nane na dakika tano za usiku.

Usijali Mkulu ndo majukumu yenywewe haya. Thank you for your comment.
 
Karibu sana JF kwa mara nyingine. Ni vema ukawakaribisha members wa TPN wajiunge hapa vile vile (wale mbao hawaifahamu JF) natumaini umekwisha fanya hivyo ili waweze kutoa mawazo yao kama vile ulivyofanya na tuendelee kulisukuma gurudumu la maendeleo kwenye kila nyanja kwani baada ya hapo ndipo utakapoona members wengine wa hapa hapa JF wakiichangamkia hiyo organization. Tunashukuru sana kwa kutuwezesha kuifahamu zaidi TPN.

Karibu sana kwenye jukwaa la siasa vile vile ... ... Karibuni sana wana TPN kwani mtaongeza changamoto hapa kwa wale ambao hamjajiunga.

Mzalendo Ole, asante sana kwa ukaribisho wako na nafasi mliyonipa ya kutumia Forum yenu. Bila ya wasiwasi wanachama wa TPN watashauriwa kujiunga na JF ili kuweza kuchangia katika mijadala ya maendeleo ya taifa. Pia kwa mara nyingine napenda kutoa pongezi za dhati kwa wamiliki na viongozi wote wa JF pamoja na wanachama wake. Kazi inayofanyika hapa kwa maoni yangu ni nzuri sana. Hakuna kitu chema kama kutoa mawazo yako kwa uhuru.

Kwa hakika, tiketi ya kuwapa wana-TPN ninayo . . . . . Ni maoni yote yaliyotolewa katika mjadala huu. Watagawiwa na wao pia wapate nafasi. Ni katika process hiyo wataalikwa rasmi. Kwa sasa partcipating Members wa TPN wanapita 1000.

Mkulu majukwaa ya siasa natembelea sana na punde tu nitaanza kuchangia. Kwa sasa naelemewa sana kutoa majibu kwa wadau wanaochangia katika thread hii na hivyo kukosa muda.

Nashukuru sana kwa maoni yako mazuri ya kutia moyo.
 
Mtsimbe,

It looks like JF gave you a run for your money, but on the other hand I believe you have gotten a basket full of tangible good ideas that might help TPN for moving forward and for business as usual. I commend you for your elaborative answers and your time!
 
Asante sana ndugu yangu Zemarcopolo, unajua hawa wakulu usipowajibu haraka, wanaweza kudhani hauko serious. I must respond to each post kwa kuwa usipofanya hivyo watadhani una wadharau.

Toka thread hii ianze nimekuwa nikilala kati ya saa 8 na saa 9 usiku kwa kuwa siwezi kujibu mchana kwa haraka kwa sababu ya majukumu mengine. kama saa hizi tayari ni saa nane na dakika tano za usiku.

Usijali Mkulu ndo majukumu yenywewe haya. Thank you for your comment.


Good we need a committed leader like you...ngoja niipitie your constitution vizuri and then i will make my own decision..but i think ni idea nzuri before hata ku iread hiyo const...but anything might happen...let me take my time
 
Mzalendo Njimba . . . vyote ulivyovitaji ni vyama visivyo vya Kiserikali (Non State Actors).

Ni matumaini yangu hilo suala la fees nimelitolea maelezo. Kinachoanza siyo fees. Kwanza ni interest yako wewe binafsi tena ya hiari ya kujiunga na TPN, pili kupata particulars zako na kulipa fees au yote yanaweza kwenda pamoja.

Pia nimeeleza mifano mingi ya benefits mbalimbali ambazo mwanachama anapata. Kumbuka TPN inajiendesha yenyewe na haitegemei fedha za wafadhili.

Ahsante Mr President,

Maelezo yako nimeyasikia na nimekuelewa, ila tu kwa mtazamo wangu jina la organisation yako haliendeni na maana halisi ya neno professional.

Kwa kutumia OXford Dictionary:

Maana ya neno professional:
1) connected with a job that needs special training or skill, especially one needs special training and a high level of education:

2) (of people) having a job which needs special training and a high level of education:

Ukiangalia maana zote mbili zinataka "a high level of education".

Nina imani hata kama mawazo yangu hayajakupendeza sana ila jaribu kuangalia hilo. In red hapo juu nina linganisha na Swali la "Yai na Kuku Kipi Kilianza" .........

Ok Mr President kazi njema

Njimba
 
Njimba, asante sana kwa observation zako:
Ni kweli ili uwe mwanachama active na kupata benefits zote ni vema ukilipa ada.
  1. Quality assuarance . . . kabla hujalipa fees kuna form maalumu ya kujaza either kupitia tovuti au fomu maalumu ambayo TPN itakutumia kwa ajili ya kuweka particulars zako. Mpaka sasa sijwahi kupata taarifa kama kuna application ambayo member haja-qualify. So no need to be worried on the issue of quality assuarance. Nadhani in practcal sense si rahisi mambo yote kuyaelezea katika email unayoi-refer.
  2. Qualification of member . . . nadhani nimelielezea hapo juu kwamba lazima ujaze form ya particulars zako. Pia refer categories of membership ingawa kimsingi TPN italiangalia upya suala hili.
  3. TPN is interested not only in quantity but also in quality and output as well . . . please refer above.
  4. Your 100,000/= contribution - As mentioned, TPN can't write everything on email. There must be other additional information on communication. If you have paid 100,000/= without completing the forms, then there might have been mistakes. Please confirm if this has happened to anyone.
  5. Harvesting wadanganyika money . . . LOL. Not clear, but I hope maelezo ya hapo juu yanaweza kukushawishi ufute usemi wako.


From your comments:
1) Hakuna taarifa kama member hajaqualify, yes understand your policy of win, win, win ............
2) Ahsante kama mtaliangalia.
3) Yes, as per item 1, However, noone has ever disqualified to be a member
4) No comment
5) No comment

Njimba
 
Mzalendo Njimba asante sana kwa maaoni yako . . .

My brother, you never came back to me with any questions as I requested, instead you picked up with an email from TPN Office administrator (I am not sure how you got it)

TPN.

Mr President,

I can see you are wondering the way I got that email from your office Administrator.

Ngoja nicheke kidogo, ha haaaaaaaaaaaaaaa!

This is JF brother, serikali, mashirika ya umma huwa wanashangaa the so called CONFIDENTIAL DOCUMENTS ARE HERE JANVINI ZIMEANIKWA , EPA, RICHMOND, ETC.

What I like with JF you do not know who is who?

Please do not sack your collaborators because of that email. Just sahihisha utaratibu wa kupata ma-member.

In addition, I might be a member or a prospective member of TPN

Njimba
 
Ahsante Mr President,

Maelezo yako nimeyasikia na nimekuelewa, ila tu kwa mtazamo wangu jina la organisation yako haliendeni na maana halisi ya neno professional.

Kwa kutumia OXford Dictionary:

Maana ya neno professional:
1) connected with a job that needs special training or skill, especially one needs special training and a high level of education:

2) (of people) having a job which needs special training and a high level of education:

Ukiangalia maana zote mbili zinataka "a high level of education".

Nina imani hata kama mawazo yangu hayajakupendeza sana ila jaribu kuangalia hilo. In red hapo juu nina linganisha na Swali la "Yai na Kuku Kipi Kilianza" .........

Ok Mr President kazi njema

Njimba

Mheshimiwa Njimba,

Nimepitia katiba na documents kadhaa za hawa bwana (TPN) ambazo zinapatikana kwenye website yao. Kwa upande wa wanachama wanasema inabidi uwe "graduate of a higher learning institution". Sasa wewe unatilia shaka kwamba mtu aliyemaliza degree au diploma ya juu atakuwa sio professional? Halafu uelewa wangu ni kwamba moja ya lengo lao ni kutengeneza professionals, so sioni tatizo ukijiunga kabla hujawa professional madamu una-meet the minimum requirement, na katika kushiriki shughuli zao ukapata profession unayotaka.

Nikwambie kitu, mimi nime-deal sana na NGOs Tanzania. NGOs nyingi ni za kibabaishaji na zinaendeshwa na watu wawili, watatu, na wakati mwingine mume na mke na wala huwezi kuzi-trace. sasa angalia hawa TPN, nimepitia website yao, eeh bwana, ni nadra kupata NGO ya namna hii TZ. Tena nimeona mkutano wao wa December 2007 ulikuwa na wanachama hadi 120!!! Nimepitia documents zao kadhaa, eeh bwana jamaa ni wazuri na wanajitahidi sana na wana vision kubwa kwelikweli.

Tafsiri yangu ya lengo lao kuu ni kwamba wanataka kuwajengea watanzania uwezo, hasa vijana, ili waweze ku-realise potential zao vizuri na hivyo kutumia hizo potential katika kujiletea maendeleo yao na kuweza kuchangia maendeleo ya nchi, don't you think this is a noble cause worth supporting?

Nikiwa mwalimu naelewa matatizo ambayo graduates wetu wanayo inapokuja kwenye swala la uwezo katika nyanja mbalimbali, ikiwemo hata kuandika barua nzuri ya kuomba kazi, CV, interview skilss, uanzishaji wa biashara, n.k. Sasa mimi bwana mtu yeyote anayejitokeza kusaidia kutatua hili tatizo nitamuunga mkono sana, ndio maana naona kwamba hawa TPN ni muhimu sana wasaidiwe.

Mimi binafsi, kupitia maelezo ya kiongozi wao mahiri huyu bwana Matsimbe na documents zilizopo kwenye website yao, hawa TPN wamenishawishi sana. Nitafanya maamuzi ya mwisho ya kujiunga nao au la mara nikifika Dar na kuwatembelea ofisini kwao.
 
mkuu Can You Please Explain The Differences Among Network, Project, Ngo, Etc.

And You Can Join Network And Leave Upendavyo .... So Longer Umelipa Subscription Fee? I That What You Mean?

Sorry I Seem Not To Understand You Here.

Njimba

What Do You Think Njimba? Is Ngo Similar To Network? Can't You Leave Network Even After Making Informed Decision Of Paying Only To Be Disappointed Or Your Expectations Not Being Met?

With All Your Skills And Innovations, I Am Confident That You Can Differentiate Ngo And Network
 
Mheshimiwa Njimba,

Nimepitia katiba na documents kadhaa za hawa bwana (TPN) ambazo zinapatikana kwenye website yao. Kwa upande wa wanachama wanasema inabidi uwe "graduate of a higher learning institution". Sasa wewe unatilia shaka kwamba mtu aliyemaliza degree au diploma ya juu atakuwa sio professional? Halafu uelewa wangu ni kwamba moja ya lengo lao ni kutengeneza professionals, so sioni tatizo ukijiunga kabla hujawa professional madamu una-meet the minimum requirement, na katika kushiriki shughuli zao ukapata profession unayotaka.

Nikwambie kitu, mimi nime-deal sana na NGOs Tanzania. NGOs nyingi ni za kibabaishaji na zinaendeshwa na watu wawili, watatu, na wakati mwingine mume na mke na wala huwezi kuzi-trace. sasa angalia hawa TPN, nimepitia website yao, eeh bwana, ni nadra kupata NGO ya namna hii TZ. Tena nimeona mkutano wao wa December 2007 ulikuwa na wanachama hadi 120!!! Nimepitia documents zao kadhaa, eeh bwana jamaa ni wazuri na wanajitahidi sana na wana vision kubwa kwelikweli.

Tafsiri yangu ya lengo lao kuu ni kwamba wanataka kuwajengea watanzania uwezo, hasa vijana, ili waweze ku-realise potential zao vizuri na hivyo kutumia hizo potential katika kujiletea maendeleo yao na kuweza kuchangia maendeleo ya nchi, don't you think this is a noble cause worth supporting?

Nikiwa mwalimu naelewa matatizo ambayo graduates wetu wanayo inapokuja kwenye swala la uwezo katika nyanja mbalimbali, ikiwemo hata kuandika barua nzuri ya kuomba kazi, CV, interview skilss, uanzishaji wa biashara, n.k. Sasa mimi bwana mtu yeyote anayejitokeza kusaidia kutatua hili tatizo nitamuunga mkono sana, ndio maana naona kwamba hawa TPN ni muhimu sana wasaidiwe.

Mimi binafsi, kupitia maelezo ya kiongozi wao mahiri huyu bwana Matsimbe na documents zilizopo kwenye website yao, hawa TPN wamenishawishi sana. Nitafanya maamuzi ya mwisho ya kujiunga nao au la mara nikifika Dar na kuwatembelea ofisini kwao.

Mzalendo Kitila,

To be frank with you I am not against their idea, ila tu ninataka wawe makini
Unajua kilichonistua pale niliposoma email yao na vile walivyokuwa rahisi kujiunga nao. Kama professional body sikutegemea kila kitu kiwe mara moja. Nilitegemea kwanza watume form ya maombi and then waipitie mtu akimiti conditions zao aruhusiwe kujiunga nao. Sasa ndio suala la malipo lije tatizo langu ni hilo.

I am Professional & Registered Quantity Surveyor ninaungana na wazo la kuunganisha profession za field zote, kwani itasaidia sana kufungua uwigo wa maendeleo kwenye nchi yetu.

Nitapokuwa tayari nitajiunga nao ili mapungufu yaliyopo kule TPN tusaidiane kuyatatua ili tuwe na the real "Tanzania Professionals Network".

Kwa hiyo siku moja tutakuatana kule bahati mbaya itanibidi nijitambulishe upya. Ukija nyumbani and if you wish to attend one of their monthly meeting tuwasiliale.

Njimba
 
Back
Top Bottom