Naomba tena ufafanuzi.
Nisichotaka kuruka kukisema kabla sijapata ufananuzi mzuri ni kwamba wewe Raisi wa chama cha watu wenye digrii na mashirika ya biashara unashindwa kueleza hata qualification za uanachama. Utawezaje kufanya makubwa zaidi?
Kwamba unataka kuonekana kwamba ni cha wote wakati sivyo.
Sitaki kuruka kusema kwamba wewe sio mkweli kabla hujafafanua.
Unasema chama chenu cha wenye digrii na mashirika ya biashara ni cha wote kwa sababu kuna lile kundi la tatu, la honorary membership. Hiyo honorary membership unapewa kwa heshima au yeyote anapata? Kama yeyote anapata basi clause ya qualification za uanachama kwa nini ina neno "uhitimu"? Ni katiba yenu au wewe Raisi ndio hau make sense?
Raisi naomba utumie nafasi nyingine tena kufafanua ni nani anakubaliwa kundini mwenu.
Au, ahidi kwamba maneno matamu yako mlisahau kuyaweka kwenye katiba na mtayaweka. Isipokuwa kama neno la Rais ndio Katiba.
Assuming wewe ni Rais.
Maana umesema tuwasiliane kupitia barua pepe
president@tpn.co.tz
Kwa mtaji wa hiyo email address, unaweza ukawa Katibu au karani mpokea barua wa Rais.
Naomba jitambulishe wewe nani kwenye chama cha waliohitimu na Mashirika ya Biashara.
Tena.