Jamani hivi JF ni anti ccm tu? hili niswali ambalo naona niulize humu ndani. maana sielewi ccm imeingiaje hapa ktk tpn?
ina maana akifanya mbowe ufisadi haandikwi huku? mi naona humu tunachukia mabmbo maovu from what ever source ccm and the like. mnatutisha sisi tulio neutral na tunakaataa maovu yote sio nusu nusu je hatustahili?
msifanye huu ukawa mtandao wa upinzani naamini hata nia ya waanzishaji haikua hivyo. MODERATORS PLEASE HELP KAMA NIMEKOSEA HAPA.
Afterall kujiunga ni hiyari ameomba utembelee website uwasome ukikubaliana sawa au la basi . na hakika ww hata ujatake time kwenda huko ila basi tuu tunatumia uhuru wetu vibaya.
Sanctus Mtsimbe,
You are the man. Baada ya kusoma post yako na majibu yako kwa hoja mbalimbali nashawishika kuamini kwamba upo makini katika kutekeleza malengo na ndoto za TPN. Hongera sana, mimi nakuunga mkono 100%. Kila hatua ya kutusogeza mbele na kulitoa taifa letu katika aibu tuliyo nayo inapaswa kuungwa mkono sana.
. . . . . JF sio mtandao wa Upinzani bali ni mtandao wa kupinga yale yote ambayo yanafanywa kuwaumiza Watanzania wa Kawaida kama mimi na wewe. Mtandao wa Watanzania wenye uchungu na Tanzania.
JF: WHERE WE DARE TO TALK OPENLY!!!
Sure, but we should not go that route blindly bila kuhoji. Nimefuatilia huu mjadala nikitegemea ningepata kuelewa what TPN is all about. Huenda nikaanza kuamini kuwa hawa TPN ni wasanii.
Mzee Mkumbo nilitegemea ungesema mawili matatu kuhusu mjadala huu?
.
Kuna watu natambua uwepo wao kwenye online community. Ila mnapokuwa wakimya, napata picha kwamba you guys know something we don't; but why the secrecy? Sanctus Mtsimbe is being so diplomatic on his responses. Nikisema TNP wasanii nitakuwa nimekosea? I'm outta here! 😡
"wakimya" - nikiwa na maana when someone say something but avoid to speak about what you expected her to say on the matter.
.
Kitila Na Mwana Msimbe!!
Nilichojifunza Humu Jamvini Ni Kwamba, Usipokua Makini... Unawez Kukosa Usingizi!!
Tpn Ni Nzuri Na Kama Haukidhi Kuwa Member Ni Bora Kuacha Walengwa Wa Tangazo, Nina Wasiwasi Na Baadhi Ya Walio-negative... Hawakubali Kwamba They Dont Fit In Every Network
Keep It Up BWANA Msimbe, Na Wapinzani Wa Tpn Kalaga Baho!!!!!!!!
Ndo maana hatupendelei watu kutumia majina yao halisi humu jamvini. Ukiwa rafiki na mtu na unajua anatumia jina gani JF mara nyingi kabla ya kuhoji chochote asemacho utasita kufanya hivyo, wakati ambavyo kutojua mtoa hoja ni nani pengine ungeshiriki kikamilifu.
.
Lazydog nakubaliana na wewe kwa asilimia 100%. Kitu usichokijua ni sawa na usiku wa kiza. Ni vema kufanya uchambuzi wa kina kabla hujaamua kujiunga na TPN. Please take your time. Afterall kujiunga na TPN si sheria ni suala la hiari ya mtu.
Hata hivyo napenda kukuhakikishia kuwa TPN si chama cha wasanii. Mafanikio machache katika mwaka mmoja yaliyopatikana yanadhihirisha hivyo. Naamini katika mwaka mmoja ujao mtazamo wako huenda ukabadilika. Jipe muda tu . . . LOL.
Mzee Mkumbo, kwa nini usiseme mawili matatu ili Mzalendo Lazydog naye afurahi? . . . LOL. Asante ndugu yangu Mzalendo Lazydog kwa mchango wako. Hata tahadhari kama hizo zinaifanya TPN iwe makini zaidi.
Asante sana Mzozo . . . . Sina uhakika nililala saa ngapi, lakini nadhani ni baada ya saa nane na nusu usiku . . . LOL wakulu bado hawajanitoa kwenye Tanuru la moto . . . LOL
Najitahidi kuzingatia na kuelewa yote yaliyo muhimu. Nashukuru tena kwa mchango wako pia.
Katika kushawishi na kujibu hoja nimekukubali mzee. Ni mategemeo yangu kwamba sifa hii inafanana na utendaji kazi wako ulivyo.
Upatapo muda siku nyingine utueleze kwa mifano hayo *mafanikio ya mwaka mmoja unayoyazungumzia. Itasaidia sana kushawishi vichwa ngumu kama mimi.
Asante.
NB: *Mafanikio kwa members
.
The confirmation process continues, Senator Kuhani exhaustively expounges extreme extrapolations, as expected. Details aside, president Mtsimbe exhibits a rare flare of tenacious "toe-to toeing" and tenets of tough-cookieness without as Mwanakijiji put it "snapping" or getting condescending and cocky.
Whether this hue of humility will hang to heights or go to the hang heights remains to be seen.
With reservation, I will cut him and his organization some slack, short of joining at least during the vetting period due to privacy concerns.
Just as there is no trade of between having a phone with a sizable screen and having a small phone (challenge to engineers) there is also no trade off between joining an effective real world organization and anonimity.
The good president himself invited critical analysis in the hope that it will help check and even iron out a few things. If some senators are asking one too many questions, it is not because they love TPN and it's ideals less, it is because they love efficiency, transparency and accountability more and hope to have these to the maximum at TPN.
It is unfortunate that some of us are reduced to labelling the few detail oriented (or pedantic, depending on your viewpoint) souls in here as "walio negative" and "wapinzani wa TPN"
The good president himself invited critical analysis in the hope that it will help check and even iron out a few things. If some senators are asking one too many questions, it is not because they love TPN and it's ideals less, it is because they love efficiency, transparency and accountability more and hope to have these to the maximum at TPN.
Mzee Mkumbo, kwa nini usiseme mawili matatu ili Mzalendo Lazydog naye afurahi? . . . LOL. Asante ndugu yangu Mzalendo Lazydog kwa mchango wako. Hata tahadhari kama hizo zinaifanya TPN iwe makini zaidi.
Hili ni lijitego yaikhe, inabidi kuondoka Kizenj!
Sanctus,
naona TPN mnatumia sana neno Mzalendo mnamaanisha nini?
Agreed Pundit;
It is even more dissapointing when a few can conclude ones intention [and reduce them to size] without asking themselves why one is thinking that way? the point we have to note always is how one asks questions... I read the thread and i know who I was targeting; from questions you can learn walio skeptics, positives, ignorants, radicals as well as people like you!!
Mgoyanyi, usiogope yakhe . . . Hili si tego ndugu yangu. Huwezi kunaswa na wala usihofu . . . LOL