Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Vp kaka cm max? Help out
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hapo unaanza moja kwa moja kuchat ila ina depend kama mtu yuko online na pia kama umeisha register nick name yako, mfano hao walio pembeni wenye majina ya kidawa, ney, CRAP unaweza chagua mmoja ukaanza kuchat nayeHebu niambie hatua inayofata baada ya hapa......
![]()
Kaka bado nacheki hapa, maana kwanza haungii hivi hivi tu lazima kwanza udownload JAVA kwanza then mengineyo yanafuata
Shikamoo!!!Thanx Maxence
Unajua kuna wengine wanadhani unaingia moja kwa moja tuhayo majava yako yapo yamejaa......
Nimeiona lakini hii habari ya kuwa unaweza kutumia jina lolote haijanikalia sawa. Wanafunzi wangu wanaweza kudanganywa, mtu akaijiita Gaijin kisha akaniharibia wanafunzi.
Hapo mkuu naona pafanyiwe marekebisho fasta.
Mwalimu hata mimi naunga mkono hoja maana mtu anaweza kuingia kule kwa nick name ya jina la mtu hapa JF watu wakadhani ndiyo yeye kumbe siye hiyo itakuwa haijakaa vizuriNimeiona lakini hii habari ya kuwa unaweza kutumia jina lolote haijanikalia sawa. Wanafunzi wangu wanaweza kudanganywa, mtu akaijiita Gaijin kisha akaniharibia wanafunzi.
Hapo mkuu naona pafanyiwe marekebisho fasta.
Mwalimu hata mimi naunga mkono hoja maana mtu anaweza kuingia kule kwa nick name ya jina la mtu hapa JF watu wakadhani ndiyo yeye kumbe siye hiyo itakuwa haijakaa vizuri
Mkuu hapa nipo nacheki kote koteTupen na wenye phne tujiridhshe jaman finest vp?
kama cha darchat au cio?Ahsante mwalimu wangu. Shkamoo mwalimu wangu.
Hachati mtu kwa nikinemu hapa.....
Teamo hachelewi kujiita DaMie, nikajikuta natongoza dume jenzangu bila kujua....lol
Mimi nafikiri ingekuwa jambo la busara wakaacha watu wakatumia ID zile zile kuliko kutumia nick names zingine trust me as we go on lazima kuna watu watatumia ID za wenzao kama nick names, labda kama watareserve IDWanaweza wakareserve ID za watu....
Mjukuu (naona for the time being hii ndio chatrum)Marhaba @the finest (Imenibidi hadi konekisheni itakapokubali hii ndio chatrum)
Mimi nafikiri ingekuwa jambo la busara wakaacha watu wakatumia ID zile zile kuliko kutumia nick names zingine trust me as we go on lazima kuna watu watatumia ID za wenzao kama nick names, labda kama watareserve ID
Ahsante mwalimu wangu. Shkamoo mwalimu wangu.
Hachati mtu kwa nikinemu hapa.....
Teamo hachelewi kujiita DaMie, nikajikuta natongoza dume jenzangu bila kujua....lol
Umeona ehee badala ya kujiita crapiest ukajiita The Finest tena ukaweka na CAPS lazima uchezee banKwa mfano wewe ukijiita st. rr basi badala ya crap unapewa ban automatiki....