queenkasanda
Member
- May 28, 2014
- 27
- 4
mimi ni memba mpya nimevutika kujiunga jf naomba kukaribishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu jf, unakunywa nini?
^^
Karibu sana! Kuna akina Miss... Queen... Mzurimie... n.k tuna bahati sana hatuna wanawake wasio warembo!
Karibu sana.
^^
ahsante juice yatosha
ahsante juice yatosha
Mhhh we sio mzoefu kweli..enewei karibu
jamani badiebey mi mgeni
ahsante kwa ukaribisho
karibu..ila kaa mbali na hubby wangu..
Una asili ya Zambia?
Karibu...feel at home
kwanini mkuu umeuliza hivyo
mix waonekana ni mkarimu eeeehYa mango, orange, guava? Au mix
I have a friend from Zambia somebody kasanda