Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mie huwa namuhisi boss wangu ndiye Malaria Sugu, humwambii kitu kuhusu CCM hata mgao wa umeme yeye hudhani umesababishwa na maandamano ya CDM tu.Laiti tungekuwa tunatumia majina yetu ya kiukweli nadhani JF isingekuwa tamu kama ilivyo sasa.
Kuna maprofesa, wasomi mbalimbali, wasio soma na watu wa kila aina. Lakini wote tuna haki sawa ya kuchangia chochote na kukosolewa.
Yaani humu safi sana unaweza ukajikuta mtu kama Malaria SUgu ni mkuu wako wa idara hapo ofisini kwako, au Nazjaz ndio mmiliki wa kampuni yenu.
Long live JAMII FORUMS
<br />Mie huwa namuhisi boss wangu ndiye Malaria Sugu, humwambii kitu kuhusu CCM hata mgao wa umeme yeye hudhani umesababishwa na maandamano ya CDM tu.
<br />Jf imenipatia mke msomi, mi niliishia form six lakini mke wangu ana masters.
Hongera...Jf imenipatia mke msomi, mi niliishia form six lakini mke wangu ana masters.
<br />Laiti tungekuwa tunatumia majina yetu ya kiukweli nadhani JF isingekuwa tamu kama ilivyo sasa.<br />
Kuna maprofesa, wasomi mbalimbali, wasio soma na watu wa kila aina. Lakini wote tuna haki sawa ya kuchangia chochote na kukosolewa.<br />
Yaani humu safi sana unaweza ukajikuta mtu kama Malaria SUgu ni mkuu wako wa idara hapo ofisini kwako, au Nazjaz ndio mmiliki wa kampuni yenu.<br />
Long live JAMII FORUMS
<br /><br /><br />
<br /><br />
mawazo mgando haya mbona wengine ndo majina yetu vifisadi vidogo ndo mnaficha majina yenu mnaogopwa kumulikwa
Jf imenipatia mke msomi, mi niliishia form six lakini mke wangu ana masters.
<br />sasa mkuu unavyomkula unajisikiaje?
<br />Malaria sugu ni kiongozi serikalini tena almaaeuf!!
<br />halafu Faiza Foxy unajua anafanya kazi gani??? Otea
<br />
<br />
jana jioni aliniuzia mihogo ya futari