JF mahali wakutanapo Maprofesa na mambumbu kubadilishana mada na hoja mbalimbali

JF mahali wakutanapo Maprofesa na mambumbu kubadilishana mada na hoja mbalimbali

Nimegundua humu kuna baba mzazi wangu.anapenda chama cha mafisadi kinoma.rafiki yake ni mbunge fulan hv wa gamba.angejua jina langu kamili ni soo wakuu.kwan mi mwenyewe namjua ni kilaza sana.
 
Nimegundua humu kuna baba mzazi wangu.anapenda chama cha mafisadi kinoma.rafiki yake ni mbunge fulan hv wa gamba.angejua jina langu kamili ni soo wakuu.kwan mi mwenyewe namjua ni kilaza sana.


Sipati picha alivyo conservative asiyetaka kushauriwa wala kubadili msimamo wake. Lol, kweli JF is a better place
 
Nimegundua humu kuna baba mzazi wangu.anapenda chama cha mafisadi kinoma.rafiki yake ni mbunge fulan hv wa gamba.angejua jina langu kamili ni soo wakuu.kwan mi mwenyewe namjua ni kilaza sana.

Na ndo maana tunajishauri huo mkutano wa jf saccos this weekend tutakwendaje, wengine itabidi tungojeage mtujuze humu humu jamvini, kwa maana huko ni noma.
 
Nimegundua humu kuna baba mzazi wangu.anapenda chama cha mafisadi kinoma.rafiki yake ni mbunge fulan hv wa gamba.angejua jina langu kamili ni soo wakuu.kwan mi mwenyewe namjua ni kilaza sana.
<br />
<br />
 
Nimegundua humu kuna baba mzazi wangu.anapenda chama cha mafisadi kinoma.rafiki yake ni mbunge fulan hv wa gamba.angejua jina langu kamili ni soo wakuu.kwan mi mwenyewe namjua ni kilaza sana.
<br />
<br />
WE UNAMWITA BABAKO KILAZA UTAPATA LANA OHOO
 
Kweli kabisa..tena unaweza kuta JK naye ni mdau mkubwa humu jamvini.
 
Mfano halisi ni mimi...! Elimu yangu ni la saba la zamani. Nikiwa hapa najiona kama mhitimu wa chuo kikuu jamani. Masikini mimi Mwendabure...!

Mkuu busara haipimwi kwa vyeti....huenda wewe kwenye elimu ya mtaani una phd
 
Heh nakwambia kama tungekuwa tunatumia ID za kweli pasingetosha! A couple of days ago naingia ofcn kwa boss nkakuta yupo busy na kazi kucheck screen vizuri yupo JF. Hata cjui anatumia ID gani humu ndani!!
 
Heh nakwambia kama tungekuwa tunatumia ID za kweli pasingetosha! A couple of days ago naingia ofcn kwa boss nkakuta yupo busy na kazi kucheck screen vizuri yupo JF. Hata cjui anatumia ID gani humu ndani!!
Bosi kanogewa na JF
 
Back
Top Bottom