Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,604
Heh nakwambia kama tungekuwa tunatumia ID za kweli pasingetosha! A couple of days ago naingia ofcn kwa boss nkakuta yupo busy na kazi kucheck screen vizuri yupo JF. Hata cjui anatumia ID gani humu ndani!!
Aaah ha ha ha ha ha.. Nyie watu mnanichekesha sana leo, kwa kwei JF ni tamu thana. yaani mtu unafunguka without fear or favour