JF Marubani, naomba yeyote anayefahamu kuhusu Ndege inavyoruka na kutua tuelimishane haya

JF Marubani, naomba yeyote anayefahamu kuhusu Ndege inavyoruka na kutua tuelimishane haya

Samico Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2022
Posts
486
Reaction score
1,237
Habari ndugu wadau!

Naomba mwenye ABC Kuhusu masuala ya urubani atusaidie kujibu kwa ufafanuzi machache kuhusu ndege inavyoruka na kutua.

Pamoja na mengine; Naomba ufafanuzi
1. Kazi ya kifeni kule mbele kulikochongoka ni nini?
2. Je ndege inayoruka ndani ya Tanzania inatakiwa kutembea umbali gani kutoka chini (kwanini).

3. Ndege inayoruka masafa ya afrika inatakiwa kutembea umbali gani kutoka chini.

4. Ndege inaruka kutoka bara moja hadi jingine inatakiwa kutembea umbali gani kutoka chini.

5. Kwanini ndege inayotoka Morocco afrika kwenda South Africa inatumia muda mwingi karibu na ndege inayotoka Tanzania kwenda America na ulaya?

6. Ndege hutambuaje inapopita juu ya kambi ya jeshi au Ikulu?

7. Ndege inaogozwa na marubani wangapi? Mbona huwa kuna viti vitatu mbele? (Rubani kushoto, rubani kulia, rubani nyuma ya rubani)

8. Ni kweli kwamba ndege iliyotoka masafa ikitua kabla haijafungua mlango mtu akiigusa kwa nje akiwa peku peku anapigwa shoti ya umeme?

9. Ni kweli wachuna ngozi walitumia ngozi ile kwenda kutengenezea baadhi ya sehemu za ndege?

10. Hali ya hewa ya ndege ukiwa angani huwa inalingana na nchi mlikotoka au mnakokwenda?

11. Kwanini ndege ikiwa inakaribia kutua au ikiwa inasubiria kutua hali ya hewa husumbua upumuaji hasa ndege za hapa nchini?

12. Kipi husababisha vibration ya ndege ikiwa hewani baadhi ya maeneo?

13. Ndege haiwezi kupigwa radi? Inatahadhali gani kujikinga na radi ikiwa angani?

14. Standard ya speed ya ndege kutembea huwa ni ngapi?

15. Vioo vya mbele huwa vina viper kufuta maji kama gari?

16.......kama kuna swali ongezea wanaojua watusaidie ufafanuzi!

Tuheshimu maoni ya wachangiaji tupingane kwa hoja! karibuni. Mwenzenu Utotoni nilitamani sana mambo ya urubani kuelea angani.

Lakini Mungu akapenda zaidi niwe Fundi umeme na ujenzi nielee kwenye paa za nyumba za watu ili kufanya makazi ya watu kuwa sehemu salama kwa gharama nafuu sana!

Kama unatatizo lolote la kiufundi umeme nyumbani kwako linalokukera na limeshindikana naomba unipigie fundi SAMICO kwa 0711756341.

Kwa wale mnaojenga sasa, tunasuka na kurekebisha wiring kuwa ya kisasa ambayo hairuhusu upotevu wa umeme kabisa!

Bei ni maelewano! Gharama zetu ni hizi hizi za mtaani hata chumba kimoja tunasuka! Tunafika popote Tanzania! Karibu sana 0711756341 SAMICO Tanzania
 

Mada maalum ya ndege toka FB

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mada maalum ya ndege toka FB

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe pia inaweza kwenda kinyume nyume, Hakuna haja ya side mirrow? #Mshana Jr
 
Maswali yako yote yanayohusu Umbali kutoka usawa wa bahari ni maswali ambayo yanategemea na sehemu ndege inapita na ipo ktk Approach ipi kwa wakati huo.

Pia maelekezo kutoka ATC ndio yanamuongoza ruban kufanya nini na kwa wakati gani.

Kuna swal umeuliza kuhusu Ikulu etc
Ktk flight plan ndege inapita ktk njia yake na kuna miscellaneous factors ambazo zinakupa uwezo wa kung'amua upo wapi, eneo gani kuna nini etc.

Swala la ndege inaongozw maruban wangap ni swal pana kidg maana kuna ndege nyingi zile ndogo kuna kubwa ila mara nyingi maruban ni wawili

1 First officer
2 Pilot in Command (Captain)

Mara nyingi utawatambua kulingana na mabega yao.. ranks captain utamkuta na Vimistari vinne pale begani.

Turud ktk swali lako la hewa na mvutano au mtikisiko

Hiyo tunaita TURBULENCE kwa TZ hasa maeneo ya Iringa.. Songwe etc kuna turbulence baadhi ya maeneo

Swali la Radi, kuna insulator maalum inayoregulate Charge za radi hivyo haiathiri ndege japokuwa inaweza leta madhara.

Hakuna standard rasmi ila inategemea unatumia chombo kipi (Instrument) mara nyingi ukubwa wa ndege, hali ya hewa, umbali unapokwenda ndio una determine speed ya kutumia ukiwa angani.

Umeuliza general questions ila ulipaswa uanze kuuliza kuanzia operations zinakuwaje

Mfno CABIN CREW inaundwa na akina nani na lipi ni majukumu yao hao watu.

Usalama upi unazingatiwa

Ungetakiw kuuliza ndege inatake off vipi na inatua vipi.

Nini majukumu ya Air traffic controllers

Nini Radar inaonesha..

Ndege zinapangwa vipi ktk njia zake..

Etc

Karibu.
 
Maswali yako yote yanayohusu Umbali kutoka usawa wa bahari ni maswali ambayo yanategemea na sehemu ndege inapita na ipo ktk Approach ipi kwa wakati huo...
Asante kwa maelezo! Kama hutojali ongezea nyama kidogo hasa hapo kwenye namna ndege inavyopaa au kutua, traffic controller inafanyaje na mengine mengi unayoyajua lengo nikujua!
 
Habari ndugu wadau!

Naomba mwenye ABC Kuhusu masuala ya urubani atusaidie kujibu kwa ufafanuzi machache kuhusu ndege inavyoruka na kutua.

Pamoja na mengine; Naomba ufafanuzi
1. Kazi ya kifeni kule mbele kulikochongoka ni nini?
2. Je ndege inayoruka ndani ya Tanzania inatakiwa kutembea umbali gani kutoka chini (kwanini).

3. Ndege inayoruka masafa ya afrika inatakiwa kutembea umbali gani kutoka chini.

4. Ndege inaruka kutoka bara moja hadi jingine inatakiwa kutembea umbali gani kutoka chini.

5. Kwanini ndege inayotoka Morocco afrika kwenda South Africa inatumia muda mwingi karibu na ndege inayotoka Tanzania kwenda America na ulaya?

6. Ndege hutambuaje inapopita juu ya kambi ya jeshi au Ikulu?

7. Ndege inaogozwa na marubani wangapi? Mbona huwa kuna viti vitatu mbele? (Rubani kushoto, rubani kulia, rubani nyuma ya rubani)

8. Ni kweli kwamba ndege iliyotoka masafa ikitua kabla haijafungua mlango mtu akiigusa kwa nje akiwa peku peku anapigwa shoti ya umeme?

9. Ni kweli wachuna ngozi walitumia ngozi ile kwenda kutengenezea baadhi ya sehemu za ndege?

10. Hali ya hewa ya ndege ukiwa angani huwa inalingana na nchi mlikotoka au mnakokwenda?

11. Kwanini ndege ikiwa inakaribia kutua au ikiwa inasubiria kutua hali ya hewa husumbua upumuaji hasa ndege za hapa nchini?

12. Kipi husababisha vibration ya ndege ikiwa hewani baadhi ya maeneo?

13. Ndege haiwezi kupigwa radi? Inatahadhali gani kujikinga na radi ikiwa angani?

14. Standard ya speed ya ndege kutembea huwa ni ngapi?

15. Vioo vya mbele huwa vina viper kufuta maji kama gari?

16.......kama kuna swali ongezea wanaojua watusaidie ufafanuzi!

Tuheshimu maoni ya wachangiaji tupingane kwa hoja! karibuni. Mwenzenu Utotoni nilitamani sana mambo ya urubani kuelea angani.

Lakini Mungu akapenda zaidi niwe Fundi umeme na ujenzi nielee kwenye paa za nyumba za watu ili kufanya makazi ya watu kuwa sehemu salama kwa gharama nafuu sana!

Kama unatatizo lolote la kiufundi umeme nyumbani kwako linalokukera na limeshindikana naomba unipigie fundi SAMICO kwa 0711756341.

Kwa wale mnaojenga sasa, tunasuka na kurekebisha wiring kuwa ya kisasa ambayo hairuhusu upotevu wa umeme kabisa!

Bei ni maelewano! Gharama zetu ni hizi hizi za mtaani hata chumba kimoja tunasuka! Tunafika popote Tanzania! Karibu sana 0711756341 SAMICO Tanzania

www.google.com
 
Siti ya mbele tungoje ukoo wa Neema Swai watue wako angani!

Ongezea hapo!
Kupia Simu kwanini haziruhusiwi angani?
Anatakiwa Afanye Search Humu JF Kuna Threads Mbili Moja Nakumbuka Ni Mshana jr
Ameianzisha Ina Kila Kitu
 
Asante kwa maelezo! Kama hutojali ongezea nyama kidogo hasa hapo kwenye namna ndege inavyopaa au kutua, traffic controller inafanyaje na mengine mengi unayoyajua lengo nikujua!
Kuna kitu kinaitwa SOPS
Yaan Standard Operating Procedures kwa kuzingatia Checklist before take off.

Sasa basi, ndege kabla ya kuondoka Rubani anawasiliana na ATC mpaka aruhusiwe kuondoka. Na ataongozwa na mtu wa ATC mpaka pale mwisho wa scope yake na kupewa ATC mwingine kupokea.

Na wakati wa kutua ni hivyo hivyo na mara nyingi kama kuna traffic kubwa uwanjan ATC anazipanga ndege huko angani na kuziruhusu moja moja kutua akianza na zile kubwa..

PIC kabla hajatua lazima apewe ruhusa na ATC pia PIC anaamua atue au asitue akizingatia Mambo mengi ikiwemo Visibility. Kuna lines pale uwanjani (Nikipata muda nitazielezea zina maana gani) pia kuna rangi, taa etc vyote vina maana zake na zinamuongoza Rubani kutua kwa usalama.

Hapo nimeongea General approach Procedures zinakuw tofaut ktk Airstrip hasa za mbugani.
 
Back
Top Bottom