Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Wakuu,
Wengi tupo tunakua na mahangaiko ya kusaka pesa wakati huu wa mchana.
Mimi mida kama hii nakua nimetoka lunch, napata kahawa na kashata au chai ya asali na mdalasini huku nikitafunia na karanga then narudi kazini kuendelea na harakati za kudeal na clients wangu.
Wakati huu wa mchana wewe upo wapi, unafanya nini..?
Wengi tupo tunakua na mahangaiko ya kusaka pesa wakati huu wa mchana.
Mimi mida kama hii nakua nimetoka lunch, napata kahawa na kashata au chai ya asali na mdalasini huku nikitafunia na karanga then narudi kazini kuendelea na harakati za kudeal na clients wangu.
Wakati huu wa mchana wewe upo wapi, unafanya nini..?