JF Mchana Kutwa.

JF Mchana Kutwa.

b1ccf48aaed28bd8c9ee8fa8e453d003.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi wengine bando la bure tunapata lakini kazi hatuna

[emoji56][emoji94][emoji109]with my weather[emoji23][emoji23]
 
Mchana wa leo nakunywa kinywaji bariiidi baada ya kula kitimoto nusu na ndizi nne za kurost.. Hii ni furaha baada ya kumcharaza Arsenal
 
Kwa sababu tunaipenda ccm sana,kila saa tuko humu kuangalia wangapi wamehamia
 
JF USIKU WA MANANE vs JF MCHANA KUTWA

[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56]
 
Haha
Itapendeza kama usiku wa Leo nitakesha humu JF na boxer
 
Kwa kuwa mimi ni Kobe nilihangaika sana Kula mihogo kwa msambaa ili ndg zangu wasinione,ila namshukuru mungu niliigonga mihogo vizuri kabisa
Nalog off
 
Wakuu,

Wengi tupo tunakua na mahangaiko ya kusaka pesa wakati huu wa mchana.

Mimi mida kama hii nakua nimetoka lunch, napata kahawa na kashata au chai ya asali na mdalasini huku nikitafunia na karanga then narudi kazini kuendelea na harakati za kudeal na clients wangu.

Wakati huu wa mchana wewe upo wapi, unafanya nini..?
Unadeal na clients JF? Ushenzi mwingine hauna mfano!
 
Back
Top Bottom