Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Fafanua kwanza kwa Kichwa Kichafu.ndipo na mimi nifafanue blazaFafanua kabla sijakubadilikia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua kwanza kwa Kichwa Kichafu.ndipo na mimi nifafanue blazaFafanua kabla sijakubadilikia!
Kwani wewe unahisije blazaHili tuliache liwe kiporo..😂 hivi kweli we unahuruma kweli wewe..?
Kasome komenti yake utaelewa usipoelewa bwana awe nawe.Fafanua kwanza kwa Kichwa Kichafu.ndipo na mimi nifafanue blaza
🤣🤣🤣 Nikisema nitapigwa BAN.. Yesu akusimamie dada yangu..Kwani wewe unahisije blaza
Mimi nimeielewa ndo mana ni kasema pengine ikawezekana kuwa wewe ndo boyaKasome komenti yake utaelewa usipoelewa bwana awe nawe.
😆😆😆😆hivi blaza wewe ni wa ngapi kuzaliwa vile🤣🤣🤣 Nikisema nitapigwa BAN.. Yesu akusimamie dada yangu..
Wewe SasaKuweka weakness yangu hadharani ni kumuonesha adui yangu fimbo ya kumchapia...
Ngoja nisome comments tu
Anahuruma mpk ye mwenyewe inamtesa!! Dada unataka niandike nini tena au unataka ban inihusu..😂Mimi nimeielewa ndo mana ni kasema pengine ikawezekana kuwa wewe ndo boya
Niling'ang'ania kuwa wakwanza baadae wakaniweka wa mwisho nikaona niwe wa katikati.. actually Bado ni blaza wako..😅😆😆😆😆hivi blaza wewe ni wa ngapi kuzaliwa vile
Sio yeye Hata mimi pia hunitesa.Anahuruma mpk ye mwenyewe inamtesa!! Dada unataka niandike nini tena au unataka ban inihusu..😂
Achana na mambo ya actually huko na wewe..Niling'ang'ania kuwa wakwanza baadae wakaniweka wa mwisho nikaona niwe wa katikati.. actually Bado ni blaza wako..😅
Nimetoboa masikio lakini haijawahi kutokea nimevaa hereni kabisa.Sipendi mwanamke avae hereni.....cheni....na shanga.
Akivaa huo uchafu nahisi kinyaa kwelikweli
Ha ha! Pole chako.. pole sana..Sio yeye Hata mimi pia hunitesa.
😆😆😆nitafurahi blaza nikikusababishia ban
Nimekosea wapi mbona Leo umenishikia bango hivi..😅Achana na mambo ya actually huko na wewe..
Ndo mana unasumbua sana
Chizi wewe umejiona usivyo na siri sasa...Ha ha! Pole chako.. pole sana..
Ban sipati maana moja ya mods ni tamu yangu..😜
Hujui ulipokosea??Nimekosea wapi mbona Leo umenishikia bango hivi..😅
Wivu tu! Haya dada we endelea kutafutatafuta ila kwangu kaa ukijua una mawifi!!.. na huo uchibonge utapata kweli..🤣🤣🤣🤣Chizi wewe umejiona usivyo na siri sasa...
Kwani ni tamu yetu jamani..haya kausha sasa na huo utamu wako.
Utapata tu😅😅