JF member leo share weakness yako hapa

Mwanamke anaejua kucheza mziki haswa.

She run me crazy.
 
Reactions: BAK
Asee kumbe tuko wengi kuna kipindi ninakuwa sina uwezo wa kusaidia hapo inafika wakati in sacrifice resources chanche nilizonazo. Namshukuru mungu huwa ananilipa zaidi na nitoavyo.
Ohooo Hallelujah...Mungu azidi kukutia nguvu usikwame kusaidia watu
 
Msosi wee, dagaa twende,mchicha twende...lol
Kuna asie kula kila siku ? 😁😁

Sema kama ukimaliza kula, mtu akaleta msosi mwingine lazima ule tena.
Hapo ndo itakua weakness.
 
Changu ndioπŸ˜…πŸ˜…thubutuuuuu tutapigana
We utapigana au unajua kuuma tu..! Naogopa meno yako tu.. toka ile siku home ulivyonikosasa jino ukaenda kuuma mbao hadi ikakatika unafikiri nitaruhusu nipigane nawe!!..πŸ˜‚
 
Asee kumbe tuko wengi kuna kipindi ninakuwa sina uwezo wa kusaidia hapo inafika wakati in sacrifice resources chanche nilizonazo. Namshukuru mungu huwa ananilipa zaidi na nitoavyo.
Mkuu nakumbuka kuna kipnd wakat nasoma, nilipga pass ndefu ili nisiharibu buku nililokuwa nalo ili nikanunue chakula uck mana sikuwa na shiling na nyumbani hakueleweki, sasa wakat narud ile jioni nimeoga vumbi balaa mana niliamini nikiwa natembea njaa haiumi sana tofauti na ukikaa sehemu moja. Bc wakati naelekea geto mara mtot fulani akaniita, nikasimama, yule mtot alichakaa sanaaa midomo imemkauka kashika kopo la maji, akanambia kuwa anaomba hata jero tu akanywe ata chai tangia asbh hajagusa kitu nam mfukoni nina buku tu tena noti. Nilijikuta nimetoa buku lote nikampa nikamwambia tumia vzr ikusaidie na kesho. Naondoka cwaz mm ntakulaje ila moyo unaniuma yule mtot na na mazingira anayolala. Bc nafika geto ndo naona geto lilivyonuna nikajilaza, dak kwenye tano tu meseji ikaingia nikaona imethinitishwa mpesa, ilikuwa 124,000/= nikafurahi nikajua n maza kanitumia kuangalia no na jina la wakala siyo mana home tulikuwa na wakala wa mpesa mmoja(kijijini), lkn pia niliwaza maza akituma hela nyingi sana ni 20,000/= nikatulia kwenye dak 15 namba ngeni ikapiga nikapokea alikuwa mtu kama mzee akanambia samahan katuma hela kimakosa anaomba arejeshewe. Daaaa nikamwambia sawa mzee nikutumie no hii hii? Akasema ndiyo. Bc nikamrudishia hela yotee kwangu ilipak sh 80 bc. Baada ya kupokea muamala mzee yule alinipigia akanishukuru sanaaa kisha akamata cm, kitambo kidg tu meseji ikaja tena 4BFJKGJ imethibitishwa nimepokea sh 23,000/= ckuamn macho yangu. Mzee aliamua kunipa ile hela kama shukurani. Akanambia ww utakuwa kama mwanangu akaanzaga kunisaidia ck ile ile kwa kunitumia hela nyingi za matumizi hadi na ada amewah nisaidia kiasi fuln hivi mana home walikwama kabisa, na hatukuwahi kuonanaga nae ata ck moja mpk naelekea kumaliza mzee aliacha kupatikana badaye mama (mke wa yule mzee) alinipgia cm kuwa baba yako alishafariki wk mbili sasa. Niliumia sana, na alikuwa kama mzaz wangu kabisa had nyumbn walifahamiana nae nam nilifahamiana na mke wake. Aliniahidig vitu ving sana nikimaliza masomo lkn Mungu n mwema akamchukua kabla ata hatujaonana, na alikuwa anakaa Mwanza mm Mbeya daa!. Na mpk leo naamn yule mtot alinipa baraka.

Nataman kusaidia wengi ila sina cha kusaidia. Naumia sana moyoni. But ipo ck ntasaidia wengi na ndoto niliyonayo itatimia tu

Tusichoke kusaidiana jamani, huwezi jua kesho itakuwaje.
 
We utapigana au unajua kuuma tu..! Naogopa meno yako tu.. toka ile siku home ulivyonikosasa jino ukaenda kuuma mbao hadi ikakatika unafikiri nitaruhusu nipigane nawe!!..πŸ˜‚
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Haki kenzy nimecheka kinyama
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Haki kenzy nimecheka kinyama
Si nakukumbusha matukio yako ambayo ndo maisha yako ya zamani halafu ukiwa kanisani unakuta nawe unakemea "toka shetani" sasa kwa hayo meno... Simalizii

Dada umeshindaje..?🀣
 
Sikutaka ku comment chochote, lakini ghafla mbele yangu kakatiza binti na vichuchu vyake mwenyewe. Haki ya mama, nime muangalia mpaka kapotelea kizani.

Nime gundua kua mimi ni mbovu wa chuchu karanga.
 
Si nakukumbusha matukio yako ambayo ndo maisha yako ya zamani halafu ukiwa kanisani unakuta nawe unakemea "toka shetani" sasa kwa hayo meno... Simalizii

Dada umeshindaje..?🀣
Nitakukata kelebu blazaπŸ˜…πŸ˜…
 
Kademu kembamba, wananichanganya sana hawa wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…