MISS CHAGA, tokea akagombee umiss uchagani ndio kapotea mazima
Mimi hapa, nimerudi. Nilibanwa sana shughuli za kitaifa!
kipindi nikiwa guest nilikua nawapenda sana wafuatao kwa busara,nawaheshimu sn.watu8,grafani11,lara1.pia pdidy,king'asti,kongosho,smile but sikuhizi siwaoni humu ndani.pia nyani ngabu nilikuaga namwogopa sana na nilikua interested kusoma comments zake.nasikitika sana tena sana.wamekua adimu sn.
Shyland wapi?
Huyu nimemficha mie ila soon nitamuachia arudi hewani
mume wa mimi salima sana karia na members woteee wa pentagon, nitakuja siku isiyo na jina kama mwana wa ADAMU ajavyo! luv u more hubby wa mimi! AsprinMdogomdogo wifey.... utatoa siri za room usipokuwa makini....
Karibu pentagon...
Al Hood.... Al Shabeeb.... Al Sumry....Al Daaesksipres....