Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

Alfred Asante kwa kunitag, nipo sana nshahamia Dodoma we ukija pande za huku tutafutane tu
 
Wale wa darajani, wale wa OT , wale wa Majogoo na arsenal fans. (Tusichekane lakini tutainuka tuu[emoji13][emoji13]) And My special appreciation goes to sumbai [emoji8][emoji8][emoji8]
Don Clericuzio boss mwenyewe mwenye wadhifa.
4G LTE ooh sijui nisimeje. Acha muda uongee.
espy Dada wa mie.
Madame S [emoji177]
everlenk I miss you mom..
sister jamani ujeee
Bailly5 my brother from another mother,
Bila kumsahau jirani yangu SHAMMA.
Asanten sana kwa support zenu za mawazo na wadhifa. Nawapenda.



Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks to you my sweetheart[emoji7]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Archduke, s tu kwa kua tu wapenzi hapana, bali vile uavyotekeleza majukum yako na kusimama kama mwanaume kwenye gurudum letu la kimahusiano inanifanya nikuone kama mpenzi, rafiki, mume na baba mwema wa baadae. Sitaacha kukushukuru kwa hiki unafanya kw ajili yangu, and yes i promise to be with you kivyovyote vile, had pale Allah atakapopitisha faradhi yake,

Karucee nakukubali na kuvutiwa maandiko, nakiri nimesoma mada zako zote had siku unajiunga humu, nakupenda na kukubali sana ntakuja na Archduke utufundishe kingereza

Don Clericuzio, hope you know vile nakukubali wewe ni zaidi ya kaka kwangu

Sky Eclat napenda kusoma maandiko yako haswa jukwaa la madaktari, na pia vile ukichapiaga kwangu hua nburudan mana hua nacheka sana

SteveMollel brother una kipaji nilianza kukusoma kimya kimya had meshindwa kuvumilia nimejitokeza hadharani kabisa usiache kutunga riwaya ni kipaji unacho

Mwifwa hahahhahaha nakupenda tu na kazi yako nna mpango wa kukupandisha cheo

mahondaw wewe ni mwanamke jasiri, umenifundisha kusimamia kile unaona ni sahihi hasa linapokuja swala la baby hahahhah

Asprin na Daby naachaje kuwasahau na coments zenu za kunichekesha mmekua watu wa kuniongezea siku za kuish kila nisomapo comments zenu

Tater hope you know ni jinsi gani nathamini mchango wako kule kwenye lile jukwaa letu

Slim5, BAK, Shunie Sesten Zakazaka, Hajar, CUTE bKhantwe i miss you,

sumbai yo the best!!


Nawapenda na kuwakubali wengi siwez kuwamaliza kuwataja jaman
I just count blessing twice, more than sister, more than shem....


Thanks Madame S

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu joka_jeusi kwa kuvunja tuu mbavu zangu.
Nyani Ngabu nikisoma comment zake huwa nafurahi sana na kingereza chake sijui cha kiyahudi kile kigumu sana.
cute b na sumbai my best couple na hii ya mahondaw na smart
Wambea wenzangu sasa wotee mliostaafu na mnaoendelea kulisongesha,
rubii
Maserati
Shunie
Raynavero
Mama Sabrina
Demiss
Na wengine wengi.


Sent from my TECNO-C5 using Tapatalk
Thanks dada shemeji.

I miss you 'there'

Ukuje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom