Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Sio muongo?? Wewe jamaa humjui vizuri king J .. Unakumbuka yale maji yalivyokuja kule mugani nani aliyaleta? King Juliet si aliwadanganya kuwa kayaleta yeye!?King Julian... Siyo muongo sema ni mjanja sana... anapenda kumuonea morris... yule Bush baby...
H ha ha JK mjanja sana aisee.. Kaona bora wazungu ndio wamchungulie..Hahahahaha nitakimbilia US kama JK.. Maana nasikia mlimpania sana mliingize dole kwa zamu zamu
Silumbuki mimi....Unakumbuka nilikuambia nini?
Keep calm.....
Namtetea King J ni shujaa... ni wivu wa penguins too... kwanza anapepewa na kusuguliwa miguu... penguin Edward ndiyo anamzingua...Sio muongo?? Wewe jamaa humjui vizuri king J .. Unakumbuka yale maji yalivyokuja kule mugani nani aliyaleta? King Juliet si aliwadanganya kuwa kayaleta yeye!?
Mambo mengi wale penguin kina skipper walikuwa wanayafanya afu king J anasema kuwa yeye ndio kafanya..
Karudie tena kumcheki....
Ww muongo hujawahi hata kufika Iswahiloni kwetu TandaleMbona mimi nakufahamu wewe[emoji2] [emoji2] [emoji2]
HahahahahahNani wewe........?
Wewe ni mzee Kingunge....
Hata me wa uswazi wewe. Kwani umeshahama mabibo au?Ww muongo hujawahi hata kufika Iswahiloni kwetu Tandale
Hata yaje mafuriko haturudi kijijini...nimeamini unazijua post zangu haswa ndo maana umekumbuka natokea Mabibo City pande za uswazHata me wa uswazi wewe. Kwani umeshahama mabibo au?
Wale madoctor wa muhimbili aligoma kuwapandishiaga mshahara aisee wangemwingiza kwa zamuH ha ha JK mjanja sana aisee.. Kaona bora wazungu ndio wamchungulie..
Sitaki,kumbe wewe ni mzembe hivi???Silumbuki mimi....
Nikumbushe basi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hata yaje mafuriko haturudi kijijini...nimeamini unazijua post zangu haswa ndo maana umekumbuka natokea Mabibo City pande za uswaz
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ni kweli...Mabibo City tunatisha km njaa hapa JF...pale Mzee wa uchawi Mshana...kule mlimbwende rubii...halafu kuna sharobaro Bitoz n.k[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nakumbuka kuna Uzi Fulani ulikuwa unahusu mabibo. Wewe mshana jr na rubii ni wa mabibo
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nakumbuka kuna Uzi Fulani ulikuwa unahusu mabibo. Wewe mshana jr na rubii ni wa mabibo
Heheheheheeee hata sisi hatutaki kufahamiana na wewe kenge mwenzetu.Kama nitataka kufahamiana na yeyote humu JF basi labda wale wa jukwaa na kimataifa, jukwaa la wakenya na jukwaa la great thinkers.. Ila kenge yeyote wa haya majukwaa ya chini sitaki mazoea nao.. Kenge wakubwa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sasa ni mda wa kuhamia uzunguzi Bitoz. Mwambie mshana jr na rubiiNi kweli...Mabibo City tunatisha km njaa hapa JF...pale Mzee wa uchawi Mshana...kule mlimbwende rubii...halafu kuna sharobaro Bitoz n.k
lazima ukae......[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hehehehehehe ila wewe nitakutafuta tu... Endelea kunikimbia kimbiaHeheheheheeee hata sisi hatutaki kufahamiana na wewe kenge mwenzetu.
Potezea Zoba hilo.....Heheheheheeee hata sisi hatutaki kufahamiana na wewe kenge mwenzetu.
Sasa ni wa wapi? Inaonekana unamfahamuRubii c wa mabibo wews acha kubahatisha?
Mmmh huyo mzembe asisamehewe kabisaa...Sitaki,kumbe wewe ni mzembe hivi???