JF- MMU versions

Mahondaw

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
67,252
Reaction score
168,563
Wana chitchat!
Iko wapi Jf ya enzi hizo??? iko wapi MMU ya enzi hizo??
Jf ya kina
Excel
REALITY
Watu8
mzabzab
Eiyer
Descartes
Miss Neddy
utafiti
masai dada
arusha one
Nawengineo utawaongezea

Kuna kipindi Kuna majukwaa ilikua ukiingia tu palikua pamotooooo mpaka raha kama MMU
MMU ilibamba mnooo enzi fulani hivi hapa kati

MMU OLD VERSION
Lara1 -sio huyu wa sikuhizi sijui amekuaje yani hata hachambi watu wima
Heaven @on Earth - huyu anapatikana kwa nadra sana sikuhiz
Evelyn SALT- huyu bado yupo kwenye gemu ananifurahishaga sana majibu yake walahi ila sikuhizi naona kama amepunguza makeke sijui kwanini majibu yake tu mi naiona siku
miss @Neddy amepotea sana sijui nani kamficha
miss chagga juzi jana na Leo bado analisongesha ligi ila huyu sikuhizi amekua mkubwa lakini anaongea points sana kuna ushauri ukisoma huwezi amini kama niyeye
Dinazarde - bado anatamba sana ila sikuhizi utamkuta sana kuleeeee na salt na warumi
Nyani @Ngabu - alikua na ligi moja na kubwa la maadui ilikua mattatta uliepitwa ulikosa uhondo. Ana kiingereza chake fulani akiongea unaeza usiambulie kitu
Matola wapi sikuhizi Umekua adimu sana nakumbuka sana jamani ulinifundisha kummention mtu kuquote navingine.
Asprin babu yupo kwenye miaka ya nyongeza huyu mwenzie DARKCITY sijui kaenda wapi

MMU INTERMEDIATE VERSION
Nokia83
lin
mahondaw
Heaven sent mamaa wa upako alikuepo na anaendelea kuwepo
Smart911. Huyu hata simuelewagi huyu
badili tabia

MMU NEW VERSION
espy
Numbisa
jje's
STUNTER
Daby
saint @Ivuga
joanah
emmyta
B40
usser
miss NATAFUTA
Shunie
Qurie
@Gorniverous
Nawengine weeengi ongezea na toa salamu zako
Jamani I missed the old version kwakweli though Kila moja ina ka utamu Kake
Love you all.
Nawasalimu tu
 
Smart911 always i'm unpredictable.. You will never know when i will attack and take you by surprise...

And once i do itapatewa na both mshangao na furaha..


mahondaw its just a matter of time...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…