JF- MMU versions

JF- MMU versions

Ivuga still anatumia I'd ya 2008 (ila hii nilimrithisha). Sasa umemweka sehemu moja na mtu aliyeingia 2016 Dec.
Ila hata mimi wa 2014 kuniweka new version na 2017 duuh
2006-2010.
2011-2014.
2015- update
Hahaha Daby yani ulinirithisha mwaka 2008.

Wewe lazima nikuloge uhamishiwe dodoma.

mahondaw wangu sasa hivi ana miaka 17... Ina maana mimi wakati najiunga JF 2008 kana miaka 9...

Potelea mbali ID yangu za zamani niliyoisahau password ya mwaka 2006(jambo forums)
 
Hahaha
Namaanisha kutamba MMU mpaka sasa
Kuna members yani ukiingia tu Huwezi wakosa
Ahaaaa.. Hapo mahondaw nimekuelewa..
Mimi kila msimu huwa nahama majukwaa..
Ila nimejikita kwenye lile jukwaa la wakubwa kule chini ambalo wengi wenu hamlijui
 
Wana chitchat!
Iko wapi Jf ya enzi hizo??? iko wapi MMU ya enzi hizo??
Jf ya kina
Excel
REALITY
Watu8
mzabzab
Eiyer
Descartes
Miss Neddy
utafiti
masai dada
arusha one
Nawengineo utawaongezea

Kuna kipindi Kuna majukwaa ilikua ukiingia tu palikua pamotooooo mpaka raha kama MMU
MMU ilibamba mnooo enzi fulani hivi hapa kati

MMU OLD VERSION
Lara1 -sio huyu wa sikuhizi sijui amekuaje yani hata hachambi watu wima
Heaven @on Earth - huyu anapatikana kwa nadra sana sikuhiz
Evelyn SALT- huyu bado yupo kwenye gemu ananifurahishaga sana majibu yake walahi ila sikuhizi naona kama amepunguza makeke sijui kwanini majibu yake tu mi naiona siku
miss @Neddy amepotea sana sijui nani kamficha
miss chagga juzi jana na Leo bado analisongesha ligi ila huyu sikuhizi amekua mkubwa lakini anaongea points sana kuna ushauri ukisoma huwezi amini kama niyeye
Dinazarde - bado anatamba sana ila sikuhizi utamkuta sana kuleeeee na salt na warumi
Nyani @Ngabu - alikua na ligi moja na kubwa la maadui ilikua mattatta uliepitwa ulikosa uhondo. Ana kiingereza chake fulani akiongea unaeza usiambulie kitu
Matola wapi sikuhizi Umekua adimu sana nakumbuka sana jamani ulinifundisha kummention mtu kuquote navingine.
Asprin babu yupo kwenye miaka ya nyongeza huyu mwenzie DARKCITY sijui kaenda wapi

MMU INTERMEDIATE VERSION
Nokia83
lin
mahondaw
Heaven sent mamaa wa upako alikuepo na anaendelea kuwepo
Smart911. Huyu hata simuelewagi huyu
badili tabia

MMU NEW VERSION
espy
Numbisa
jje's
STUNTER
Daby
saint @Ivuga
joanah
emmyta
B40
usser
miss NATAFUTA
Shunie
Qurie
@Gorniverous
Nawengine weeengi ongezea na toa salamu zako
Jamani I missed the old version kwakweli though Kila moja ina ka utamu Kake
Love you all.
Nawasalimu tu

Naandaa mandamano ya Amani kupinga list hii ya Mahondaw ya kukurupuka. wale wote ambao wameachwa tukusanyike na vyeti vyetu.

Asee hii nchi bure kabisa hata ndani ya JF mambo yaleyale.
 
Naandaa mandamano ya Amani kupinga list hii ya Mahondaw ya kukurupuka. wale wote ambao wameachwa tukusanyike na vyeti vyetu.

Asee hii nchi bure kabisa hata ndani ya JF mambo yaleyale.
Mkuu tukiandamana tutakuwa tunampa kichwa mleta Uzi hapa kumkomoa usiende kutafuta hela wiki mzima

Natania tu mkuu
 
Back
Top Bottom