JF- MMU versions

Ivuga still anatumia I'd ya 2008 (ila hii nilimrithisha). Sasa umemweka sehemu moja na mtu aliyeingia 2016 Dec.
Ila hata mimi wa 2014 kuniweka new version na 2017 duuh
2006-2010.
2011-2014.
2015- update
Hahaha Daby yani ulinirithisha mwaka 2008.

Wewe lazima nikuloge uhamishiwe dodoma.

mahondaw wangu sasa hivi ana miaka 17... Ina maana mimi wakati najiunga JF 2008 kana miaka 9...

Potelea mbali ID yangu za zamani niliyoisahau password ya mwaka 2006(jambo forums)
 
Hahaha
Namaanisha kutamba MMU mpaka sasa
Kuna members yani ukiingia tu Huwezi wakosa
Ahaaaa.. Hapo mahondaw nimekuelewa..
Mimi kila msimu huwa nahama majukwaa..
Ila nimejikita kwenye lile jukwaa la wakubwa kule chini ambalo wengi wenu hamlijui
 
Yani kusema ukweli mimi JF ya sasa hivi sijaipenda kabisaa
Hapa natafuta website nyingine nikaweke lulu zangu kule
Kila kitu uki upload wanakitoa MMU wanakuleta CHITCHAT sijui kwanini!

Huko MMU sijui wanataka tuandike nini labda?! It's boring kwakweli, BORING
 

Naandaa mandamano ya Amani kupinga list hii ya Mahondaw ya kukurupuka. wale wote ambao wameachwa tukusanyike na vyeti vyetu.

Asee hii nchi bure kabisa hata ndani ya JF mambo yaleyale.
 
Naandaa mandamano ya Amani kupinga list hii ya Mahondaw ya kukurupuka. wale wote ambao wameachwa tukusanyike na vyeti vyetu.

Asee hii nchi bure kabisa hata ndani ya JF mambo yaleyale.
Mkuu tukiandamana tutakuwa tunampa kichwa mleta Uzi hapa kumkomoa usiende kutafuta hela wiki mzima

Natania tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…