Habari za asubuhi wana jf, Kama utaratibu wetu wa utafutaji na kwenda kwenye mishe mishe (,kazi,shuleni,sokoni nk )
Tuungane kuelezana Kama unasafiri kwenda mishe mishe,Mimi binafsi Niko kwenye daladala natoka mabwepande kuelekea makumbusho kwenye kuangalia vibarua.
Wewe uko wapi ? Unaenda wapi !
Tuungane kuelezana Kama unasafiri kwenda mishe mishe,Mimi binafsi Niko kwenye daladala natoka mabwepande kuelekea makumbusho kwenye kuangalia vibarua.
Wewe uko wapi ? Unaenda wapi !