JF ng'are ng'are

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kuna kipindi JF ilikuwa hot kulikuwa na wanyange hatari...hawa walikuwa mauaridi ya jukwaa...ikafika mahali kukawa na miss JF
Halafu kikapita kipindi cha mpito...wengi wakabebwa zikawa ni ndoa kila pahala! Mashemegi mawifi bankwe na mamkwe, halafu michepuko ikaanza ndoa nyingi zikavunjika na talaka saba juu...ikabaki ndoa ya mshana jr pekee [emoji106] [emoji8] makofi tafadhali...!
Tuko kwenye new Era..! JF ng'are ng'are inarejea kwa kasi siku hizi kuna vyombo hatari...kuna haja ya kuirudisha miss JF
 
hiyo rangi ya chokoleti jamani jamani mweeh!
 
ina maana hao ndo warembo wa jf? kumbe jf ina vyombo vya ukweeh
 
mkuu ongeza picha kidogo usiwe na hiyana, miss jf cheo cha lundenga cheo nipewe mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…