Uchaguzi 2020 JF ni kiboko, Tundu Lissu ajibu swali la nani atagharamia kampeni za CHADEMA!

Uchaguzi 2020 JF ni kiboko, Tundu Lissu ajibu swali la nani atagharamia kampeni za CHADEMA!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nitumie fursa huu kumshukuru mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwa kujibu swali nililouliza hapa jukwaani

Lissu amesema mwaka 2005 kampeni za Urais ziligharamiwa na wanachama, mwaka 2010 waligharamia wanachama na hata mwaka 2015 alipogombea bilionea Lowassa bado gharama za kampeni zilibebwa na wanachama hivyo hana wasiwasi kuwa na mwaka huu 2020 wanachama wanalielewa jukumu lao.

Ahsante Lissu, JF kweli kiboko.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwani mkuu hujui Kama wapo humu JF na tunajadili wote mada mbali mbali humu?
We hushangai unamuuliza mtu swali la kawaida tu humu badala ya kukujibu anakurupuka na mitusi tu, ujue ndio muhusika huyo umemgusa penyewe kapanic.

Wapo wote humu si ccm si CHADEMA so usishangae kajuaje hadi kujibu hilo swali tena hata kwenye huu uzi wako hapa ameshachangia tayari mkuu.
 
Lissu kaulizwa hilo swali kalijibu kifasaha sn na bado unaleta tena swali.....

Unamatatizo makubwa sn
 
Back
Top Bottom