Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,332
Nasikia kuna self-confessed kichaa ambaye alikwisha kuwa Raisi wa nchi hii-hivto hakuna ajabu tukipata mkichaa mwingine.Bangi mbaya sana!! yaani hapo una raaaaha moyoni ukiamini ipo siku kichaa atakuja kuwa Rais wa nchi!! ha ha ha ha!!