johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Bwashee unagonga mbege nini!!Lissu kaulizwa hilo swali kalijibu kifasaha sn na bado unaleta tena swali.....
Unamatatizo makubwa sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee unagonga mbege nini!!Lissu kaulizwa hilo swali kalijibu kifasaha sn na bado unaleta tena swali.....
Unamatatizo makubwa sn
Chadema ni chama cha kitaifa na kimataifa, hawa mabwege lazima wafuatilie habari zake kwa udi na uvumba.Ingawa upo CCM ina kila kitu kinaonesha kuwa roho yako ipo kwa Lissu. Hongera sana bwashee.
Kichaa ni aliyesema atamgawia mama yake mzazi mwanaume baada ya kupewa jogoo wa zawadiBangi mbaya sana!! yaani hapo una raaaaha moyoni ukiamini ipo siku kichaa atakuja kuwa Rais wa nchi!! ha ha ha ha!!
Jamaa anamkubali sana Lissu. Nina uhakika as long as kura ni Siri lazima October pale aweke tiki kwa LissuChadema ni chama cha kitaifa na kimataifa, hawa mabwege lazima wafuatilie habari zake kwa udi na uvumba.
Kwa maana hiyo mwaka huu ruzuku hamna au mimi ndio sijaelewaNitumie fursa huu kumshukuru mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwa kujibu swali nililouliza hapa jukwaani
Lissu amesema mwaka 2005 kampeni za Urais ziligharamiwa na wanachama, mwaka 2010 waligharamia wanachama na hata mwaka 2015 alipogombea bilionea Lowassa bado gharama za kampeni zilibebwa na wanachama hivyo hana wasiwasi kuwa na mwaka huu 2020 wanachama wanalielewa jukumu lao.
Ahsante Lissu, JF kweli kiboko.
Maendeleo hayana vyama!
Manka siasa siyo uadui!Chadema ni chama cha kitaifa na kimataifa, hawa mabwege lazima wafuatilie habari zake kwa udi na uvumba.
Endelea kukariri manka!
Ruzuku imeisha june 2020!Kwa maana hiyo mwaka huu ruzuku hamna au mimi ndio sijaelewa
Chadema kina wanachama gani? Acha kuamini upuuziNitumie fursa huu kumshukuru mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwa kujibu swali nililouliza hapa jukwaani
Lissu amesema mwaka 2005 kampeni za Urais ziligharamiwa na wanachama, mwaka 2010 waligharamia wanachama na hata mwaka 2015 alipogombea bilionea Lowassa bado gharama za kampeni zilibebwa na wanachama hivyo hana wasiwasi kuwa na mwaka huu 2020 wanachama wanalielewa jukumu lao.
Ahsante Lissu, JF kweli kiboko.
Maendeleo hayana vyama!
Pamoja manka!Sawa mama kidawa mke ya muuza piwa...!!
Kwani saccos inaundwa na nani?!Chadema kina wanachama gani? Acha kuamini upuuzi
Watanzania walishajua ni Saccos ya Mbowe na baba yake.
Niliposema namuunga mkono Lissu na kuwa wengi ndani ya CCM wanamuunga mkono watu hawakunielewa.Ingawa upo CCM ila kila kitu kinaonesha kuwa roho yako ipo kwa Lissu. Hongera sana bwashee.
Mie mwenyewe ni CCM damu ila 2017 nilibadili kabisa upeo wangu wa kisiasa na kuanza kumsupport Lissu.Niliposema namuunga mkono Lissu na kuwa wengi ndani ya CCM wanamuunga mkono watu hawakunielewa.
CHADEMA mkimsimamisha Lissu najiunga na chama chenu
Nina wasiwasi na zile kesi 6 bwashee!Wewe ndio CCM pekee angalau unaejielewa hapa jukwaani
Lakini ili ueleweke zaidi huna budi kuunga juhudi za rais wetu mpya Tundu Antipas Lissu na natumaini utalifanyia kazi hilo kwenye sanduku 28/10
Chang'aa mkuuBwashee unagonga mbege nini!!
Tajiri gani apoteze hela kwa mtu ambaye urais atausikia kwenye bomba?Wanajua majibu anayo Lissu. Lissu akifanya fund raising leo nauhakika hata bil 50 atakusanya. Kwanza matajiri wengi walioumizwa na magu lazima wamchangie
Poleni sana! Msiyempenda kaja. Ndo huyo Tundu Antipas LissuTajiri gani apoteze hela kwa mtu ambaye urais atausikia kwenye bomba?