johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa........ Lile swali akina Daudi mchambuzi wameshindwa kunijibu bwashee!Ingawa upo CCM ina kila kitu kinaonesha kuwa roho yako ipo kwa Lissu. Hongera sana bwashee.
Damu ni nzito kuliko maji huyu johnthebaptist ni mnyaturu mwenzieIngawa upo CCM ina kila kitu kinaonesha kuwa roho yako ipo kwa Lissu. Hongera sana bwashee.
🤣🤣🤣🤣🤣Damu ni nzito kuliko maji huyu johnthebaptist ni mnyaturu mwenzie
Bwashee mimi natokea Useri Rombo!Damu ni nzito kuliko maji huyu johnthebaptist ni mnyaturu mwenzie
Wanajua majibu anayo Lissu. Lissu akifanya fund raising leo nauhakika hata bil 50 atakusanya. Kwanza matajiri wengi walioumizwa na magu lazima wamchangieHahahaaaa........ Lile swali akina Daudi mchambuzi wameshindwa kunijibu bwashee!
Bwashee mimi natokea Useri Rombo!
Cdm chama dume weweJohn unafatilia Mambo ya CDM kuliko ccm
Bwashee mimi natokea Useri Rombo!
[emoji23][emoji23][emoji23]Cdm chama dume wewe
Ndio maana ccm inatuita cdm mabeberu, unajua kwanini, wanamaanisha sisi ni madume ya mbegu[emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kukariri manka!Rombo hakuna parata kama wewe...
Kichaa!??Bangi mbaya sana!! yaani hapo una raaaaha moyoni ukiamini ipo siku kichaa atakuja kuwa Rais wa nchi!! ha ha ha ha!!
Mimi nazungumzia swali langu kujibiwa hilo la ukichaa unalisema wewe!Bangi mbaya sana!! yaani hapo una raaaaha moyoni ukiamini ipo siku kichaa atakuja kuwa Rais wa nchi!! ha ha ha ha!!
Kwahyo wajiandae kupandishwa sio?Ndio maana ccm inatuita cdm mabeberu, unajua kwanini, wanamaanisha sisi ni madume ya mbegu
Oktoba ni kupanda tu mimbeguKwahyo wajiandae kupandishwa sio?