Uchaguzi 2020 JF ni kiboko, Tundu Lissu ajibu swali la nani atagharamia kampeni za CHADEMA!

Johnthebaptist napenda sometime huwa unaweka unafiki pembeni. Unampenda Sana Lissu.
 
Hata Siro yumo humu anapita pita.
 
Wewe lazima utakuwa na bahasha anakugonga chadema maana kila taarifa ya chadema we wa kwanza
 
Kwa hiyo ulitegemea aseme kampeni zitagharamiwa na mabeberu?
 
Wanajua majibu anayo Lissu. Lissu akifanya fund raising leo nauhakika hata bil 50 atakusanya. Kwanza matajiri wengi walioumizwa na magu lazima wamchangie

hakuna tajiri alieumizwa ila lazima ufanye biashara kutokana na sheria, ndo maaana huezi kuta tajiri anashabikia chadema, au mfanya biashara yoyote kuanzia mo dewji mpaka roastam , lowasa wote ni ccm sasa sjui unaongelea matajiri hawa ama?
 
Meko anatia huruma sana. Lugha ya ushawishi haiwezi. Sijui atawaambia nini watanzania kama si kutajataja maflyover, masgr, mabombadia, mafensi ya Mererani, mabarabara, mastiglers n.k
 
hakuna tajiri alieumizwa ila lazima ufanye biashara kutokana na sheria, ndo maaana huezi kuta tajiri anashabikia chadema, au mfanya biashara yoyote kuanzia mo dewji mpaka roastam , lowasa wote ni ccm sasa sjui unaongelea matajiri hawa ama?
Mo mliyemteka ili awape bilion 7???? Rostam mliyemkamata kaka yake ili aje kuunga juhudi mkono???

CCM mtajua hamjui mwaka huu nawaambia
 
Meko anatia huruma sana. Lugha ya ushawishi haiwezi. Sijui atawaambia nini watanzania kama si kutajataja maflyover, masgr, mabombadia, mafensi ya Mererani, mabarabara, mastiglers n.k
Badala ya kufanya kampeni ataishia kujichekesha chekesha
Akiona hamcheki ataanza kuwafokea kama ambavyo huwa anavyowafokea wakina Kabudi
 
lissu na wanachadema ongera sana nitakupigia kura na bahada ya uchaguzi nitaingia kwa siasa kama mwana chama wa chadema rasmi nakdi nitaichukulia Dodoma kwa mara yakwanza kuletwa duniani na wazazi wangu,mungu awabariki sana baraza kuu bila kusahau makam mgombea urais 2020 mh MWALIM umeongea maneno mazito nikiwa on line pitia mwanahalis on line mpaka machozi yalitoka nanukuu ( nimewambia familia yangu ,mke na watoto wangu , lissu ni mshindi tiyari kazi ya kutangaza matokeo ndo imebaki nitaisimamia kama makam wa rais, nitatangulia kabla ya yeye hajaniagiza, lazima atangatwe…………) HAYA ni maneno mazito katika siasa za tz so nami nasema NDO NDIYE na itakua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…