Jf nzito hii: Hatimaye yule member maarufu kapotea kama upepo chiii!

Jf nzito hii: Hatimaye yule member maarufu kapotea kama upepo chiii!

Mnaobwabwaja sipo songea mkuje hapaa mxeeew
20190417_140028.jpeg
20190417_135955.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serious niliijibu comment yake ila nilipo icheki lazima ningeondoka na ban na mimi huu uzi wa best Demiss sitaki kukosa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama jf hujaijua kumbe, hizo ni mbinu tu za kukutoa kwenye reli. Just chilax, as long as nae yupo hapa basi ujue amesoma comments zooote. Hivyo huu ujumbe wake nae unamuhusu. Akaribie tu chamani tule ubuyu wote.
 
Back
Top Bottom