JF Party Jumamosi 15/12/2018

Najarbu kuwaza tu ndan ya party Mara ONTARIO uyu apa
mzee baba MSHANA JR atakua katka mavaz gan
MZIZ MKAVU NA MBAO ZA MAWE

HAJAR akiwepo na mm ndan, unajua aya mambo lazma uwe na wakumshka shka mbavu
 
Ninaweza nikashiriki kama moderators wakija kuthibitisha uhalali wa hii sherehe.
Unawasiwasi wa bure tu lakini. Unadhani mods wako tayari watu waandae party kwa jina LA forum yao bila kuwa na taarifa? Kuona tu hizi nyuzi za party ulitakiwa ujiongeze kaka angu kuwa kuna baraka za uongozi.
Tunakukaribisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…