JF Party Jumamosi 15/12/2018

sI BORA KILA ENEO WAANDAE MAMBO YAO ILA SIKU IWE MOJA?
Kwa walioko Mwanza napndekeza siku hiyo tukutane Nyuma ya Rock beach ni sehemu nzuri sana yenye mandhali hasilia. Jana nilikaa pale na familia hadi baby wangu ananuliza .. mbona kama yuko tofauti na Mwanza.
 
Mkuu yote yanawezekana. Ni watu kuorganize tu. Tena itakua bomba hatari ingekua kila mkoa wanaandaa siku moja.
 
Hii nafasi siwezi kuikosa. Kwanza itakuwa nafasi nzuri ya kusheherekea birthday yangu.

Pili nadhani nikikutana na Mods nikawaelezea mipango mkakati yangu naweza kula shavu la kuwa Mod humu JF.

Mtanikomaje wazee wa facebook.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] (natania tu)
 
Umepona mkuu?
Na mie nimeshtuka kumuona Ujue. Itakuwa ameshapona sasa.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ukisoma huo uzi the hype ni kubwa sielewi kwanini wachangiaji wanasuasua.

This should tell "us" kwamba asilimiakubwa ya watu wa JF pang'ang'a nyingi sana.
Hata mie sielewi tatizo ni nini.. Sidhani huo upang'ang'a labda wanataka kujua nani na nani atakuwepo. Si unajua wakati mwingine MTU anahamasika akiona Fulani yupo..
Naamini bado kuna wale wazee wa "Deadline", hadi siku ikaribie, zile purukushani ndo hao fastaaaa. Wataongezeka tu
 
Kama itakua ni siku ya birthday yako na ukiwa tayari tutakujia na cake mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…