agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
Asante mamy..Kuanzia SAA Tisa mama
According to coment wanaogopa kujulikana sijui na nani sasa [emoji849]Sasa wanamuogopa nani
Nikipata ntachangaUtachanga?
Utachagua wewe unataka tukujue vipi kuwa ulichangia. Wengine hawajataja kabisa Id zao.Je, nikichanga mnaniuliza ID yangu au nakuja tu? Naogopa kukolimbwa. Wengi humu wenye ID zao ni wale wang'oa kucha. Ulinzi kwanza wengine tuna wajukuu wadogo wasijekua bila kufahamu bibi zao. Eboo.
Tutakutoa....UsijaliMtoa mada,
Vipi Hiyo party ushaombea kibali cha mikusanyiko ya usiku kutoka kwa Mambosasa?
Bila hivo Mtu Unaweza jikuta Chai ya asubuh inakukuta CENTRAL.
Nipe taarifa ukikosa.Nikipata ntachanga
Vivuli vyao labda
Mkianza saa tisa mnamaliza saa ngapi? Mbili usiku?Kuanzia SAA Tisa mama
Huu ni mtihani ujueNipe taarifa ukikosa.
Nyama choma itakuwepo [emoji14]?Majogoo
Kwangu ilikuwa poa pia.ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa
Mzima kabisaaa, vip wewe siku yako ilikuwa poaaa?
Ndo najiandaa kurudi kijijini bana karibu, huku nyama ya swala, digidigi ruksaaa kabisaaaa
U hali gani my dadaKwangu ilikuwa poa pia.
Hahahaaaa. Ukifika wasalimie bana. Kwani Sie huku tushawazowea. [emoji12][emoji12]
Mie Alhamdulillah uzima ninao mdogo wangu. Za masiku?U hali gani my dada
MremboU hali gani my dada