Mpekuzi17
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 445
- 396
oooh kumbe hata huko wapoooo๐๐๐Kwangu ilikuwa poa pia.
Hahahaaaa. Ukifika wasalimie bana. Kwani Sie huku tushawazowea. ๐๐
Mkuu vip habari za mchana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
oooh kumbe hata huko wapoooo๐๐๐Kwangu ilikuwa poa pia.
Hahahaaaa. Ukifika wasalimie bana. Kwani Sie huku tushawazowea. ๐๐
Hahahaa. Ndio wapo wamejaa tele. Za mchana salama kabisa Mkuu. Vp job?oooh kumbe hata huko wapoooo๐๐๐
Mkuu vip habari za mchana?
Namshukuru Allah job inaenda poaaa, sijui kwako?Hahahaa. Ndio wapo wamejaa tele. Za mchana salama kabisa Mkuu. Vp job?
Huku salama Mkuu. Hahahaaa Na kweli Mkuu jumatatu na jumanne ziko tofauti ujue yaani leo mwili uko na nguvu tu.Namshukuru Allah job inaenda poaaa, sijui kwako?
nadhani leo utakuwa uko effective no uchovu๐๐
H ah haaaaaaaaHuku salama Mkuu. Hahahaaa Na kweli Mkuu jumatatu na jumanne ziko tofauti ujue yaani leo mwili uko na nguvu tu.
Hahahaaaa. Ndio aiseeeee. ๐๐H ah haaaaaaaa
unaweza kujikuta unabeba trekta kwa nguvu ulizonazo leo eeeeeh! Haya poa Mkuu kazi njema ngojea tumalizie viporo ili siku ya leo iingie kwenye count( mkeka wa payroll)๐๐๐
Ni kweli Mkuu ukisheza unaweza kukuata kakuwekea siku pungufuuuuu unatoa machooo๐๐๐๐Hahahaaaa. Ndio aiseeeee. ๐๐
Na kwako pia Mkuu. Hahahaaa. Malizia aiseee maana mwezi tushaugawa huu.
Hahahaaaa. Kabisaaaa.Ni kweli Mkuu ukisheza unaweza kukuata kakuwekea siku pungufuuuuu unatoa machooo๐๐๐๐
Nice moment Mkuu
Haya Mkuu,Hahahaaaa. Kabisaaaa.
Na kwako pia Mkuu.
๐๐๐ sijui umewaza nini mkuu....dah!MMMH TUSIJE KUSANYWA KAMA KUKU BANDANI
Manake wasiojulikana wakikuteka na kukupa sharti la kufa au kubakwa aisee lazima kila mtu atataja ID yake na passcode hapo hapo
Anyway ngoja tuone kwanza upepo unavyokwenda
Hahaaa...disco la welcome form one hiloo...nakumbuka siku ya kwanza kwenda club[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] nilienda saa tatu usiku loohh!nkajikuta peke yangu!!Saa tisa mbona mapema hivyo
Msifanye hvyoooWala wa deadline Ndo watakapotoa sasa
Wanachanga lakini.. Hilo Ndo LA msingi. Hata sisi hatutegemei Kama tutafika 100. Wakifikia idadi ya venue yetu tu basiMm nlishawaambia humu watu maneno tu,wote waliosema watakuja kwny ule uzi na huu wanazidi hata 100 lkn subiri siku ya tukio ndio utashangaa...
Nilipie tu ze dudu!!ntakuwepoo!!![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Mi Nataka Nimlipie Raynavero Kama Atakubali Kuja Lakini
Hahaaa...disco la welcome form one hiloo...nakumbuka siku ya kwanza kwenda club[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] nilienda saa tatu usiku loohh!nkajikuta peke yangu!!