Wanawake wengi wamezoea.....hivi unafikiri kama ni mnywaji na kazoea akibeba ujauzito ndo ataacha? Wanapiga hata kama pia ananyonyesha!Uogopi kunywa huku una kijacho?
Mimi siwezi aisee hata wakati wa kunyonyesha naogopa naona kama inapitiliza kwa mwanangu[emoji23][emoji23]
Daby sidhani kama utakosa hapo mkuuNaona mnajiandaa kula maisha....
Mkuu hyo ndio ukweli, kuna watu watazimia kwa aibu humu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka kwa sauti mkuu
Wewe unaweza?Wanawake wengi wamezoea.....hivi unafikiri kama ni mnywaji na kazoea akibeba ujauzito ndo ataacha? Wanapiga hata kama pia ananyonyesha!
huwa kama siku nataka kulewa sana ndio napigaga hyo blue caracaoDuuuh umezoea bas...red zote wine wanaongezaga ulevi huwa zinalewesha kuliko white
Mkienda msisahau kunirushia picha niwaone wanajf[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kipenzi tutaenda?
Hahahahaaa.. nimepata picha ya msomali alokonda alivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha enzi nipo chuo ilikuwaga kilevi chochote napeleka as long as kimethibishwa na tbs nilikuwa mlevi hadi hostel wakanitunga jina la ritchot ..nilirudi home nimekonda kama msomali maana nilikuwa napiga vitu vikal alafu sili vizur
Hii sijaionja ni kali?huwa kama siku nataka kulewa sana ndio napigaga hyo blue caracao
sisi wengine pombe zipo damuni kabisa maana bi mkubwa anasema alikuwa anapiga sana kinywaji kipindi cha ujauzito na kunyonyesha ππWanawake wengi wamezoea.....hivi unafikiri kama ni mnywaji na kazoea akibeba ujauzito ndo ataacha? Wanapiga hata kama pia ananyonyesha!
Hiyo chura nitaishika kidogo kwenye mziki [emoji4][emoji4][emoji4]Kabisa my....pale tunaenda kudance, kunywa, kula na kufurahi hakuna kujuana!
Bia sio pombe mkuu. Tena safari zinaongeza damu sana kwa mjamzito. Toka nimeanza kuzinywa damu yangu haikuwahi kupungua. Wakati nilikua nakula matunga nakunywa rozela beetroot haipandi. Kunywa safari tu nikasahau shida za kuambiwa damu inapunguaUnakunywa pombe huku una kiumbe ndani.
acha tu yani ππππ nakumbuka wakaniuliza kwani ulikuwa chuo hapa downtown au ulienda kambi ya JKT ππHahahahaaa.. nimepata picha ya msomali alokonda alivyo
Kwangu hapana mi muoga mnoo!Wewe unaweza?
Yes wapo nina rafiki yangu ni mnywaji... kesho anajifungua leo anakunywa basi nilikua naogopa utafikiri mimba nimebeba mimi.
Haahaaa haya ndo matokeo sasa!sisi wengine pombe zipo damuni kabisa maana bi mkubwa anasema alikuwa anapiga sana kinywaji kipindi cha ujauzito na kunyonyesha [emoji23][emoji23]
Si mpaka nicheze huo mziki[emoji23] [emoji23]Hiyo chura nitaishika kidogo kwenye mziki [emoji4][emoji4][emoji4]
yah hii ni kali kuliko hizi wines... ni jamii ya kina savanah sema yenyewe ni blue in colour na ipo katika chupa kubwa kama ya saint anne alafu ina ukali fulan hivi kwa mbaaaaaliHii sijaionja ni kali?
na kweli asee ππHaahaaa haya ndo matokeo sasa!