Don't tell me huh?Bia sio pombe mkuu. Tena safari zinaongeza damu sana kwa mjamzito. Toka nimeanza kuzinywa damu yangu haikuwahi kupungua. Wakati nilikua nakula matunga nakunywa rozela beetroot haipandi. Kunywa safari tu nikasahau shida za kuambiwa damu inapungua
Ukisema ni jamii ya savanna unamaanisha ni product ya Cider sio grapes?yah hii ni kali kuliko hizi wines... ni jamii ya kina savanah sema yenyewe ni blue in colour na ipo katika chupa kubwa kama ya saint anne alafu ina ukali fulan hivi kwa mbaaaaali
yah niliwahi kuambiwa bidhaa za TBL zinaongeza sana damu.... kuna mshkaji wangu alikuwaga na tatizo la damu nyingi hadi kichwa kinamuuma akawa akienda kutoa damu mwezi huu baada ya mwezi tu shughuli inarudi upya alivyoachaga kunywa bia akahamia kwenye pombe hadi leo tatzo halijarudBia sio pombe mkuu. Tena safari zinaongeza damu sana kwa mjamzito. Toka nimeanza kuzinywa damu yangu haikuwahi kupungua. Wakati nilikua nakula matunga nakunywa rozela beetroot haipandi. Kunywa safari tu nikasahau shida za kuambiwa damu inapungua
Hivyo hivyo najua utacheza tu mm nitakua macho kutafuta mdada mwenye chura najua ni wewe tu....Si mpaka nicheze huo mziki[emoji23] [emoji23]
Haahaaa....hata hutojua trust me!Hivyo hivyo najua utacheza tu mm nitakua macho kutafuta mdada mwenye chura najua ni wewe tu....
Nitakujua kupitia samara....Haahaaa....hata hutojua trust me!
Mi mpole sana sina makeke!
yah siyo grapes.... msaada wa mtandao blue caracao is a liqueur flavored with the dried peel of the Laraha citrus fruit, grown on the island of Curaçao.Ukisema ni jamii ya savanna unamaanisha ni product ya Cider sio grapes?
Haina utamu utamu? Je bei yake?
Nataka niitest weekend hii[emoji15]
utamu kwa mbaaali ila ina radha fulan ya ukali kama mint hiviUkisema ni jamii ya savanna unamaanisha ni product ya Cider sio grapes?
Haina utamu utamu? Je bei yake?
Nataka niitest weekend hii[emoji15]
Jf ni kama kijiji naweza kuwa namfahamu ila yeye asinijue...
Waoow! Basi bia ina faida sasa....tena kwenye kitu sensitive kama damu!Kweli vile. Rafiki angu mwingine alishauriwa na daktari anywe safari kuongeza damu
Mr churaTukutane please kwa sababu nina hamu sana ya kuiona chura yako!
Dada raynavero we chura huna... [emoji16][emoji16][emoji16]Mr chura
Napenda mint taste/ flavour...surely this weekend ntaionja!utamu kwa mbaaali ila ina radha fulan ya ukali kama mint hivi
Hata wa kutishia watoto sina![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] flaat nchi km zotee!!!Dada raynavero we chura huna... [emoji16][emoji16][emoji16]
Mmmmmh.....doooh! Ngoja nikae mbali na Simara basiJf ni kama kijiji naweza kuwa namfahamu ila yeye asinijue...
So nikikuona nae nitajua ni wewe...