JF Party On My Mind

JF Party On My Mind

Nimekua nikiwaza sana kwanini wana JF hatukutani hata mara moja kwa mwaka? Wengi mnaogopa kujulikana identity zenu lakini kwani ukija sehemu yenye watu 100 na ukajitambulisha wewe Gladys na huku unatumia Mzigua nani atakaekujua?
Tuacheni woga bwana tupangeni tukutane hata tugonge glass tubadilishane story mbili tatu atakaejitambulisha kwa Id yake itakua ni mapenzi yake.
Mkiunga mkono hoja wale waloandaa mwaka ulee tutawaomba waandae na mwaka huu tukutane maana ya mwaka ule inaniuma kweli kuikosa mpenda bata mimi.
Ziwepo tu bia za kutosha. Safari, Castle lager, balimi, Serengeti lager muhimu. Kusoma risala niachieni mimi.
 
Natumai Mkuu ukiacha Mchango wa kawaida ,uta Top Up hapo chupa kadhaa ,watu walanduke vzr

Mimi sitahudhuria, gathering za hivyo huwa siyo mpenzi.

I can do ile ya watu wachache sana, wasiozidi 20, ambao ni rahisi kukata meza moja, ila hiyo hata nikihudhuria sitainjoy.

Kwenye za watu wengi hivyo huwa najikuta nimejitenga automatically.
 
Nimekua nikiwaza sana kwanini wana JF hatukutani hata mara moja kwa mwaka? Wengi mnaogopa kujulikana identity zenu lakini kwani ukija sehemu yenye watu 100 na ukajitambulisha wewe Gladys na huku unatumia Mzigua nani atakaekujua?
Tuacheni woga bwana tupangeni tukutane hata tugonge glass tubadilishane story mbili tatu atakaejitambulisha kwa Id yake itakua ni mapenzi yake.
Mkiunga mkono hoja wale waloandaa mwaka ulee tutawaomba waandae na mwaka huu tukutane maana ya mwaka ule inaniuma kweli kuikosa mpenda bata mimi.
Nadhan watu watakuwa wanakutana..Anyway uko wapi ww i hope tunaweza meet this week or next..Mi niko Dar bt after 2 weeks from this one i will be at Moro

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Mimi sitahudhuria, gathering za hivyo huwa siyo mpenzi.

I can do ile ya watu wachache sana, wasiozidi 20, ambao ni rahisi kukata meza moja, ila hiyo hata nikihudhuria sitainjoy.

Kwenye za watu wengi hivyo huwa najikuta nimejitenga automatically.
Kaah!don!!! [emoji57]njoo bwana utakaa na Mimi mpk mwisho!
 
Mimi sitahudhuria, gathering za hivyo huwa siyo mpenzi.

I can do ile ya watu wachache sana, wasiozidi 20, ambao ni rahisi kukata meza moja, ila hiyo hata nikihudhuria sitainjoy.

Kwenye za watu wengi hivyo huwa najikuta nimejitenga automatically.
We km Mimi ,watu wachache huwa nazipenda ,ila hii tuwachangie wa enjoy kdg wadau
 
Back
Top Bottom