Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
DuhNitasimamia swala la ulinzi mlangoni maana Da'Vinci na Joseverest hawakawii kubeba vyakula kwenye mashati
Sinza Mori unakufahamu?Embu nielekeze uko kwa wapi
Ziwepo tu bia za kutosha. Safari, Castle lager, balimi, Serengeti lager muhimu. Kusoma risala niachieni mimi.Nimekua nikiwaza sana kwanini wana JF hatukutani hata mara moja kwa mwaka? Wengi mnaogopa kujulikana identity zenu lakini kwani ukija sehemu yenye watu 100 na ukajitambulisha wewe Gladys na huku unatumia Mzigua nani atakaekujua?
Tuacheni woga bwana tupangeni tukutane hata tugonge glass tubadilishane story mbili tatu atakaejitambulisha kwa Id yake itakua ni mapenzi yake.
Mkiunga mkono hoja wale waloandaa mwaka ulee tutawaomba waandae na mwaka huu tukutane maana ya mwaka ule inaniuma kweli kuikosa mpenda bata mimi.
Yes unaweza nifahamu,Kama unaendaga Golden memory we mangi ntakuwa nakumanya[emoji15]
Natumai Mkuu ukiacha Mchango wa kawaida ,uta Top Up hapo chupa kadhaa ,watu walanduke vzr
Nadhan watu watakuwa wanakutana..Anyway uko wapi ww i hope tunaweza meet this week or next..Mi niko Dar bt after 2 weeks from this one i will be at MoroNimekua nikiwaza sana kwanini wana JF hatukutani hata mara moja kwa mwaka? Wengi mnaogopa kujulikana identity zenu lakini kwani ukija sehemu yenye watu 100 na ukajitambulisha wewe Gladys na huku unatumia Mzigua nani atakaekujua?
Tuacheni woga bwana tupangeni tukutane hata tugonge glass tubadilishane story mbili tatu atakaejitambulisha kwa Id yake itakua ni mapenzi yake.
Mkiunga mkono hoja wale waloandaa mwaka ulee tutawaomba waandae na mwaka huu tukutane maana ya mwaka ule inaniuma kweli kuikosa mpenda bata mimi.
Sana tuu!!Hahahaha, vzr
Si kila mtu anataka kujulikana humuu!wengine hatupendi wachache wanaotujua inatoshaaYaaan
Kaah!don!!! [emoji57]njoo bwana utakaa na Mimi mpk mwisho!Mimi sitahudhuria, gathering za hivyo huwa siyo mpenzi.
I can do ile ya watu wachache sana, wasiozidi 20, ambao ni rahisi kukata meza moja, ila hiyo hata nikihudhuria sitainjoy.
Kwenye za watu wengi hivyo huwa najikuta nimejitenga automatically.
Kaah!don!!! [emoji57]njoo bwana utakaa na Mimi mpk mwisho!
Sawa tutapiga tu story km zoteee!!si unajua miye silewi ntakuongelesha tuuuNitaboa kinoma, najijua mwenyewe.
Harusi tu inakuwaga ni mtihani kwangu, ije hiyo ya JF?
We km Mimi ,watu wachache huwa nazipenda ,ila hii tuwachangie wa enjoy kdg wadauMimi sitahudhuria, gathering za hivyo huwa siyo mpenzi.
I can do ile ya watu wachache sana, wasiozidi 20, ambao ni rahisi kukata meza moja, ila hiyo hata nikihudhuria sitainjoy.
Kwenye za watu wengi hivyo huwa najikuta nimejitenga automatically.
Kabisa tuandae yetu tutakunywa omuramba tu tujijazie mambo flani basiDada hakuna jinsi,sie tuandae yetu ,tunywe rubisi
Ndo unakutana na mama yako ilhali ulishamwimbisha kule pm ................Nimejaa hofu maana tutakuwa tumebet sasa matokeo ni Dk 90.
Kabisa Dada angu ,hz za mjini tu waachie wa mjiniKabisa tuandae yetu tutakunywa omuramba tu tujijazie mambo flani basi
Hizi pati za mjini hatuziwezi ndugu yangu
[emoji106]Kabisa Dada angu ,hz za mjini tu waachie wa mjini