JF Party On My Mind

JF Party On My Mind

Siku ya kukutana wanajf natumai 95%watakuwa na magari yao, 98%mademu wakali,
75% wanaume mahandsome
90%kila ashasafiri njema ya Africa walau Mara moja.
75% wamesoma sana wanajua mambo mengi.great thinkers
85.9% wanajua siasa balaa ,na mfumo mzima wa utawala.
Hii ni kwa mujibu wa members wote namna wan a how as I kish a mada humu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,nadhani itakua hivyo
 
Enzi nikiwa anonymous niliona JF party ishatokea watu 'waligongana' balaa nanii zilikutana vya kutosha

Watoto walipatikana wa kutosha,michepuko ya kudumu na ya muda mfupi hewalaa

wenye akili walidaka madili ya maana

etc etc etc
Aiseee
 
Naunga mkono hoja
Mimi km tajiri mkuvwa hapa Dar nitagharamia vinywaji na chakula kwa wanaJf wote watakaojitokeza

Bila kusahau couples tatu zitakazopendeza zitapata nafasi ya kupiga lunch na dinner kwenye apartment yangu iliyopo Masaki kisha watalala hapo hadi majogoo
hii content yako " nitaichukulia kama namna ambavyo ilivyo id yako
 
Nitaandaa Mimi na crew yangu part kubwa ya Greatthinkers yenye creativity kubwa!! Mtainjoy sana I hope!
 
Siku ya kukutana wanajf natumai 95%watakuwa na magari yao, 98%mademu wakali,
75% wanaume mahandsome
90%kila ashasafiri njema ya Africa walau Mara moja.
75% wamesoma sana wanajua mambo mengi.great thinkers
85.9% wanajua siasa balaa ,na mfumo mzima wa utawala.
Hii ni kwa mujibu wa members wote namna wan a how as I kish a mada humu
Ndo maana

Tusiosoma kama Mimi tunaogopa kwenda

Tusio na magari tunasita

Tusio warembo tunarudi nyumba

Tusowahi kufika hata mpk wa Uganda na Tanzania tunachelea
Tusiojua English ndo kabisaa...

Maskini kama Mimi naona ntaumbuka tu!!![emoji3][emoji16][emoji23]
 
Mtaenda wenyewe, mie wala, nije hapo halafu uniombe simu kubipu mtu ukaingia JF yangu ukaniona! Makutaniko mazuri ni PM tu
 
Back
Top Bottom