Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mkuu nitarudiMkuu,tusaidie hapa kidogo..maelezo.. naona kuna utamu
hivi huyu bibie bado yupo duniani kweli maana sijawahi kumsikia katika siku za hivi karibuni?Saa 7 kamili mchana, siku ya jumapili ya tarehe 1.11.1987, Watanzania, kila pembe ya nchi, walipigwa butwaa na kushikwa na bumbuwazi kubwa baada ya Radio Tanzania Dar Es Salaam kutangaza, katika taarifa ya habari, kwamba mwanamke aitwae SARAH MARTIN SIMBAULANGA (35) mfanyakazi wa NBC alikuwa amekwapua mamilioni ya fedha na alitoroka nchini akiwa na watoto wake watatu na laaziz wake, Mfanyabiashara TOROHA MOHAMED TOROHA(40)....
Credit kwako: Emmanuel Kasomi View attachment 1836199
[emoji16][emoji16][emoji16]Cha zamani ni dhahabu! View attachment 1457224
Wanasema yupo lakini yuko low profilehivi huyu bibie bado yupo duniani kweli maana sijawahi kumsikia katika siku za hivi karibuni?
Naomba arudie tukio mume wake awe Dude
Hahahaha labda awafunze vijana yeye umri umeshamtupa mkonoNaomba arudie tukio mume wake awe Dude
Wataje mimi namjua Mzee Kenyatta tuBaadhi ya Maraisi wa zamani wa Africa je utawajua wangapi hapo
Ukishindwa niulizeView attachment 1823457
Wataje mimi namjua Mzee Kenyatta tu
Hivi huyu dogo si alishinda ile kesi yake akapata mamilioni ya pesa? Yaani kashindwa hata kutengeneza mimeno yake kweli, ubahiri gani huu jamani?
Kipindi anajiita mgumu wa Tandale.
Nafikiri hapa ndipo walipoanza kushikishana ukuta kiutani kabla hawajazoea.
mimeno yake.
Mimi au wewe👉Huna akili.