Aisee!
Tz?View attachment 1845536
Rihanna - 2017
Bright future aheadCelin Dion 1982View attachment 1848619View attachment 1848618
Hizo bati za Goldstar, mavazi ya watu na zile IST Pale inaifanya hii picha isionekana ya kale...
Duh ok sawaHizo bati za Goldstar, mavazi ya watu na zile IST Pale inaifanya hii picha isionekana ya kale...
Wote hawa marehemu.. Enzi zao zilikuwa moto sanaKuna hawa wanamuziki na wa kwetu wacheza YOPE...B.I.G & WACKO JACKO[emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 1855727
Best of the best...r.i.pWote hawa marehemu.. Enzi zao zilikuwa moto sana
Mkuu,Gorky alikuwa mwanafasihi pia mwanasiasa wa enzi za Usovieti,kazi zake na mchango wake wa mawazo uliweza kuiweka Bolisheviks kwenye ramani mkuuHuyu Gorky ndio nani mkuu msaaada tutani!
Asante mkuu wangu Kwa kunipa mwanga ngoja nimsome kiundani zaidi,maana imenistaajabisha kuona Mzee mkubwa hapo akipata madini na kakaa Kwa kutulia!Mkuu,Gorky alikuwa mwanafasihi pia mwanasiasa wa enzi za Usovieti,kazi zake na mchango wake wa mawazo uliweza kuiweka Bolisheviks kwenye ramani mkuu