The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Dah huyu mdada NAMPENDA kupita maelezo. Aliniimbiaga wimbo nimechoka
MamboNimelipenda Sana koti la mh.
PoaMambo
Upo nchi ganNa wish sana nimuone Popo na Bundi live.
Sijawahi kuwaona hawa viumbe.
Kwann unapenda kuniuliza hili swali jamani?Upo nchi gan
OK, but am sorry 🙏Kwann unapenda kuniuliza hili swali jamani?
Nipo Jamuhuri ya Chatroo.
Mmh, wewe huyoooOK, but am sorry [emoji120]
Why mkuu? 🤔Mmh, wewe huyooo
Ukishaita 'mkuu' unakata stimu zote.Why mkuu? [emoji848]
Nikuiteje mkuu?Ukishaita 'mkuu' unakata stimu zote.
[emoji3061]
Niite 'Dady'Nikuiteje mkuu?
Manake nini mkuuNiite 'Dady'
We ita tu, maana naijua mimiManake nini mkuu
Isije ikawa ni matusi mkuu🤔🤔We ita tu, maana naijua mimi
Imebidi nivae barakoa ndo nichekeKiukweli hii suti ya mkuu inachekesha ndio maana Idris alichekaView attachment 1457207
Sent using Jamii Forums mobile app