ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Two greatest
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Two greatest
One of the GreatestHuyu muhenga anaitwa oliver ngoma, alizaliwa mwaka 1959, gabon, alianza kutamba miaka ya 1989 na ngoma zake kama Adia, ngé, bane, ktk miondoko ya zouk (zuku) na sukuz, nkView attachment 2031159
Bongo ya Nyerere sio hii ya sasa pango la wanyang'anyiIla bongo kuna wakati tunaichukulia kimasihara sana, ila hapa kuna hatari sana angalia hata na watu waliopita hapa.. Noma sana, respect
Sijasema humjui black sniper nimesema hiyo picha ya kushoto si yeye ndio point yangu chiefWa kushoto ni Bobby Wine na kulia ni Bunny Wailers
Huyo mzee nimecheza nae Reggae unasema simjui [emoji23][emoji23][emoji23]
Secretary noma sana [emoji91]
Usinisahau kwa tag chiefWatu wengi taarifa zao zimesahaulika
Nitaandaa uzi /makala ya picha ya forgotten heroes na nitauweka hapa muda ukiniruhusu. Nitamuongelea pia
Mmh hapa ndugu yangu pagumuHivi huyu kwenye hii picha ni nani nahitaji jina lake halisi msaada tafadhali Mshana Jr View attachment 2032462
Siyo Femi Kuti huyu au nimemfananishaHivi huyu kwenye hii picha ni nani nahitaji jina lake halisi msaada tafadhali Mshana Jr View attachment 2032462
Mtu hatari saana huyu, angecheza dunia ya sasa sijui ingekuwaje, sheria zimerekebishwa, viwanja swaafi, viatu vyepesi n.k
Sana [emoji23]Nchi imepita mengiView attachment 2033298
Kambona kakaa upande gani hapo?
Alifariki au aliuawa?Anaitwa Patrice Lumumba
Alizaliwa tarehe 2 July 1925
Alifariki dunia tarehe 17 January 1961, akiwa na miaka 35,
View attachment 2032074
[emoji16][emoji16][emoji16] mfalme mwenye mapembeSimulizi ya mfalme ana masikio ya pundaView attachment 1999692
Halafu hapo unakutana na caption inasema' kama ulisoma hii halafu bado hujaowa wee si mzima[emoji16][emoji16]
FQ ALIKUWA NARROW KUMBEWazee wa rap kitamboView attachment 1967211