Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kampuni zamani ilikuwepo ilikuwa inaleta vifaa mbalimbali toka UK ilikuwa inaitwa saida tujenge chetu,walikuwa wanaleta vitu quality
Walikuwa washkaj naona kna sehemu watu walizinguana tuWaliwahi kuwa marafikiView attachment 2045581
Mimi bwana nina mtu anasumbuliwa na kichwa cha paji sijui ndo kipanda uso..aisee,sijui dawa yake ni nini kwa kweliView attachment 2047985
Japo sio chumba cha kunyongea ni chumba cha daktari bingwa wa maumivu ya kipanda uso
Wachezaji wa zamani walikua ni vipande vya watu tena wenye nguvu. Siku hizi unaweza kuona wachezaji wa timu ya ligi kuu ukadhani wanafunzi wa form II 😂😂😂Alikuwa mchambuliaji mwenye uchu wa magoli enzi Yake
Makumbi juma "bongabonga"
"Homa ya jiji"
View attachment 2050590
Hii Bima Lee ya 1981 ni ile ya kina Roy(Rweyemamu) Bashekanako na kina Beresa Kakere ambao wote sasa ni marehemu. Hii ilikua ni kabda ya ile Bima Magnet 84 ya kina marehemu Shaban Dede na Jerry Nashon Dudumizi
Mkuu sie wazawa ndio tatizoo na 10% mbeleNdio chain yao wote hao.. Wameifyonza hii nchi vilivyo....!
Ndio maana ya win win situation hyooNasi pia ni sehemu ya tatizo